kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Kwani Sugu alikuwa na kosa gani?Makosa ya Sugu na Sabaya sawa?
Ipo rufaa Arusha lazima aliwe kichwa.Kesi zimeisha
Kuna Rufaa tu za Jamhuri
For any one who believes kuna mahakama huru Tanzania, anapaswa akapimwe.this country is rotten to the core...I am not here to argue kama Ole Sabaya ana hatia au la,lakini ebu imagine kuishi kwenye nchi ambayo unaweza ukafungwa muda wowote kwa kosa lolote na wenye mamlaka.. Au mamlaka ikamwaachia mfungwa yoyote mwenye kosa lolote akarudi uraiani.
Yani so called 'child predators' waliopewa kifungo cha maisha waliachiwa awamu iliyopita, 'waporaji/majambazi' kama Sabaya wanafungwa vifungo vya nje, 'magaidi' kama kina Mbowe wanafunguliwa kesi na kusamehewa na kurudi kwenye majukwaa ya siasa kimasikhara, 'mafisadi' wanapewa adhabu za kufagia hospitali baada ya kusamehe Kodi za serikali Bil. 12,huku wezi wa Kuku wakifungwa miaka 3+...what is what?
Hawa jamaa wanatengeneza narrative Kila siku wakijua zile za nyuma tushasahau..alafu mijitu inasema katiba mpya ndio suluhisho..Suluhisho Gani wakati itaendelea kusimamiwa na judicial system ileile.
Tuendelee kuimba bia tamu..anyway silaumu Sana ,our average iq is 71
Sheria inasema kifungo kisipozidi miezi sita ndio iliyo mrudisha Sugu, ila jambazi Sabaya kapigwa mwaka mzimaSugu alipotoka Jela alirudi bungeni
Nakuhakikishia, Sabaya will be back, utake usitake.Hana sifa ya kuwa kiongozi wa Serikali na hata kwenye Taasisi za Umma.
Sabaya siyo muhaini mkuu, uhaini ni moja ya capital offences nchini, kosa ambalo adhabu zake ni nzito kwelikweli, na kesi ya mtuhumiwa wa makosa ya namna hii huwa inaendeshwa kwa umakini wa hali ya juu.Kuhukumiwa kifungo si inamaanisha kakutwa na hatia. Sasa wakili wake alikuwa anaongea upuuzi gani kuwa Sabaya anaweza kugombea nafasi za uongozi ikiwa tayari ni muhaini.
Kesi ya Sugu haikuwa ya jinai?..kesi ya Sugu haikuwa ya jinai ndio maana aliweza kurudi bungeni.
..pia Sugu alikata rufaa na kushinda hivyo rekodi ya kifungo hicho imefutwa.
Imeisha Hiyo!Ipo rufaa Arusha lazima aliwe kichwa.
Kwshio kulikua na uonevu kumbe??Selikali ya mama haitaki uonevu ndio maana Sabaya katoka nje
Kwa brain yako mbowe anaweza kuwa ghaidi?, huyo jamaa amesababisha vilema, watu wameibiwa wameporwa vilio mpaka kesho vimetamalaki kila Kona, WALIOUMIZWA NA HUYU NDUGU NA KUSABABISHIWA ULEMAVU WASIKAE KIMYA.Mbona Mbowe alikuwa na kesi ya ugaidi na akaachiwa?
Watu wamepigwa misumari kwenye miguu na genge lake! THINK TWICE!Kwshio kulikua na uonevu kumbe??
Na Bado, nitapasuka kabisaNaona jinsi ulivyofura
Ni kwamba labda Swai alikuwa anadaiwa kodi halali ya serkali na labda alikwishailipa? Hiyo 5m ni kifutajasho usumbufu kwa kiasi kilichopitiliza?Hili linafikirisha sana, bora hata angemlipa hiyohiyo 50 bila ya fidia. At least that would've been sensible smh.