Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Rais anatamka hadharani kuwa ana mamlaka ya kumfutia mtu makosa hata kama ana makosa.
Hii ni uthibitisho kuwa hata kama huna kosa kama anachuki na wewe anaweza kukuweka gerezani kwa kesi za kubumba.
DPP na Mahakama haziko huru
Hii ni uthibitisho kuwa hata kama huna kosa kama anachuki na wewe anaweza kukuweka gerezani kwa kesi za kubumba.
DPP na Mahakama haziko huru