Mungu huyo atakuwa mjinga kupambania majangili, wezi, wauwaji.
Angeshawaua basi.

Unapokuwa unadhani kuwa Mungu hufanya kama afanyavyo binadamu ni kuwaza kinyume.

Neno wokovu halimhusu aliye katika usahihi. Wokovu na msamaha ni kwa aliye na dhambi yaani jangili, mwizi, muuaji na wsnaofanania hivyo.

Katika Mungu hakuna ujinga. Hakuna anayeweza kuzichunguza hekima na akili za Mungu.
 
Sabaya amehukumiwa kifungo cha nje kwa mwaka. Yuko probation. Atakuwa huru baada ya mwaka mmoja.
Probation maana yake anapaswa kuacha tabia kushauri watu. (kujidai ana hekima na kuanza kushauri watu.)Aache tabia ya kugombanagombana na watu,muuza chipsi,bartender,.
Cautiously awakaribishe watu kumkosoa;itakuwa tragedy kama watu ishara zote kwamba anafanya mambo ambayo yatamrudisha gerezani halafu wakashindwa kumwambia .
Pia tukumbuke kwamba amekaa jela muda mrefu,ambapo Askari magereza wanamfanyanyia harsh Kama mfungwa yeyote wa kawaida(au kuliko mfungwa wa kawaida).
Probation is not quite freedom. The difference must be understood. Au sivyo watu wataingia hasara.
 
Asante
 
Wakuu naomba kufahamishwa makosa ya jinai ambayo mtu anaweza plea bargain,

Je ubakaji,mauaji na ujambazi pia vyaweza kuwa kwa plea bargain!?
 
Sasa vipi kuhusu hizo hasara walizopoteza hao walalamikaji.

I hope walalamikaji wanaweza kukata rufaa kama hawajaridhika na uamuzi wa kesi
 
Mahakama haipo huru ndiyo maana ilimkuta na kesi ya kujibu Mbowe juhusu ugaidi wake lakini akaachiwa huru
Kukutwa na kesi ya kujibu sio kuhukumiwa Wewe kilaza
Mara ngapi watu hukutwa na kesi ya kujibu kisha kupangua mashtka?
Vipi mbona mbowe alihukumiwa kbs ile ya akwilina na akakata rufaa na kushinda sembuse procédure ya kukutwa na kesi ya kujibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…