Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Plea bargaining 😃😃😃Amesha tubu dhambi zake zote!? Katoka vp huku alikua ndani ya kifungo tayari!!? Katoka kwa utaratibu upi
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.
View attachment 2577142
Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.
Chanzo: Jambo TV
Kama alivyosamehewa gaidiMamlaka imeamua kunsamehe tu.....ashukuru Sana connection zake za kifamilia huko Ccm.
Ni fundisho kwa wajinga wengineAtleast atakuwa amejifunza kitu binafsi namtakia maisha mema arudi tulipe nae kodi
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
huyu arudii tenaaaaaaa!
Jamani kiswahili chetu mara nyengine kinaleta matatizo kwa sababu hatuna maneno sahihi ya kutumia katika situation fulani fulani. Sasa kama hapa penye taarifa hii. Neno kuachiliwa huru hapa linatatiza maana hakuna mahali inaposema kuwa amefutiwa mashitaka yake, kwa maana hiyo huwezi kusema kuwa yuko huru ikiwa ametolewa jela kwa dhamana na anangoja kesi yake itajwe tena. Mtu kuwa huru ni kuwa unaweza kufany autakalo na kwenda utakako bila ya kuviarifu vyombo vya dola na kuruhusiwa.Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.
View attachment 2577142
Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.
Chanzo: Jambo TV
Awapi, huyo hata kwa muonekano inaonekana alikuwa VIP huko gerezani, sasa katoka atafune vizuri hela alizochuma enzi za JPM.Atakua amejifunza vzur huu msemo
"Ishi vizur na watu,ujafa ujaumbika"[emoji4]
Jee kafutiwa mashitaka yake? Kama hajafutiwa basi bado hayuko huru huyo! Yuko nje kwa dhamana tu na hayuko huru kufanya atakalo, kuwa nje ya jela sio kuwa huru.
AHIMIDIWE YESU ALIKUFA NA KUFUFUKA ILI WATU WAKE WAPONE. KARIBU SAANA KAKA YETU NA MCHAPAKAZI NDUGU YANGU SABAYAA. KARIBU TUSHEREHEKEE SIKUKUU YA KUFUFUKA KWA BWANA YESU MWOKOZI WA ULIMWENGU. HAKIKA YESU WETU NI HAKIII. YAAANI NIKO NATIRIRIKWA NA MACHOZI YA FURAHA KWA KUACHIWA HURUU KAKA YANGU HUYU. MUNGU IBARIKI MAHAKA ZETU NA WANASHERIA WOTE WA SERIKALI.
Kwani CHADEMA ndo walioshitaki mahakamni?Chadema wasione hii 😂😂