Huyu Ana kesi mbili. Ameshinda rufaa dhidi?
 
Nakushauri Sali sana halafu waepuke Marafiki wapya utakaowapata saaa ( baada ya kuachiwa Huru huko ) kwani wengi Wao ni Watu wa Mkakati Wanaotaka kumaliza Shughuli mapema kwani inasemekana una Kinyongo, Hasira na una Mambo unataka kutuwekea Huru juu ya yaliyokukuta.
 
Sasa anaenda kuishi maporini maana akipita Bomang'ombe bila ulinzi atafanywa ng'ombe.
 
Aende akalime sasa maana uhalifu haulipi ...
 
Hongera SANA kwake. Ajenge sasa Taifa
 
Kabla sijaju nilikuwa nashangaa kwa nini wakazi wa wilaya ya Hai hapa Bomang'ombe wamelipuka kwa shangwe namna hii, kumbe dakika chache zilizopita mahakama ya wilaya ya Arusha imemwachia huru kijana mchapakazi na aliyeikomboa wilaya ya Hai kutoka kwenye makucha ya wauza madawa ya kulevya Lengai Ole Sabaya ameachiwa huru!
Mahakama imemsafisha Sabaya kuwa ni kijana safi asiye na kosa lolote na aende kuendelea na shughuli zake ikiwemo kutimiza ndoto yake ya kuwa mbunge wa wilaya ya Hai.
 
Kabla sijaju nilikuwa nashangaa kwa nini wakazi wa wilaya ya Hai hapa Bomang'ombe wamelipuka kwa shangwe namna hii, kumbe dakika chache zilizopita mahakama ya wilaya ya Arusha imemwachia huru kijana mchapakazi na aliyeikomboa wilaya ya Hai kutoka kwenye makucha ya wauza madawa ya kulevya Lengai Ole Sabaya ameachiwa huru!
Mahakama imemsafisha Sabaya kuwa ni kijana safi asiye na kosa lolote na aende kuendelea na shughuli zake ikiwemo kutimiza ndoto yake ya kuwa mbunge wa wilaya ya Hai.

 
Mbona Gaidi hujampiga chuma?
Gaidi! Nimesema hivii, hiyo kauli yangu itaishi. Chuga sio mchezo mchezo. Mtumishi gani wa umma unakutwa na mizigo ya pesa tena cash nyumbani? Alipata wapi kama sio mwizi? Mahakama imeshaamua lakini kila mtu anajua Sabaya ni jambazi na mwizi. Haki itapatikana kwingine kama mahakamani imekosekana. Tuupe muda nafasi.
 
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.
Akaje Taifa SASA
 
Pigo kwa chadema
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
KINACHOENDELEA MAHAKAMANI MOSHI KUHUSU KUACHIWA HURU OLE SABAYA KESI ya UHUJUMU UCHUMI...

5 April 2023
KINACHOENDELEA MAHAKAMANI KUHUSU KUACHIWA HURU OLE SABAYA KESI ya UHUJUMU UCHUMI...
Mapema leo Aprili 05, 2023 kulisambaa taarifa za kuachiwa huru kwa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Ole Sabaya.

Hata hivyo, hadi sasa Global TV ipo mahakamani Moshi na taarifa za uhakika ni kwamba siyo kweli kwamba Sabaya ameachiwa huru kama baadhi ya vyombo vinavyoripoti.

Hadi sasa kesi hiyo inasubiriwa kuanza kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Moshi, Salome Mshasha hadi hivi sasa 6:47 mchana bado shauri lake halijaanza kusikilizwa.

Kesi inayomkabili Sabaya ni ya Uhujumu Uchumi namba 2/2022 ya mwaka 2022. Msingi wa kesi hiyo iliyokuwa na mashtaka saba inadaiwa Sabaya na wenzake wanne walijipatia kitita cha shilingi milioni 30 kutoka kwa mfanyabiashara Alex Swai wakimtisha kutoa taarifa zake za ukwepaji kodi.

Kesi hiyo tangu kufunguliwa kwake Juni 1, 2022 haikuwahi kusikilizwa kutokana na sababu mbalimbali za kisheria, lakini ilipofika Septemba 7, 2022 washirika wanne wa Sabaya waliachiwa huru kwa makubaliano ya nje ya Mahakama na mwendesha mashtaka Mkuu wa Serikali.

Washirika hao waliokuwa watuhumiwa katika kesi hiyo ni pamoja na Sylvester Nyegu, Nathan Msuya, John Aweyo na Antero Asey ambao Mahakama iliwakuta na hatia na kutakiwa kutoa faini ya shilingi 50,000/= na fidia ya shilingi milioni 1 kwa muathirika wa tukio hilo ambaye ni Alex Swai.

Habari hii kwa hisani kubwa ya : Source : Global TV online
 
Haijalishi alitenda dhambi gani

Haijalishi alitenda Uhalifu upi

Penye toba pana msamaha

Mnyang'anyi: Yesu Mwana wa Mungu Unikumbuke Katika Ufalme wako

Yesu: Hakika Leo Hii Utakuwa Pamoja nami Peponi

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka!
 
Duh, at last.
Lesson learnt the hard way.

Viongozi wengine mjifunze... power is no permanent and is always shifting... just eat your cake and behave...
Wewe sio mahakama,mahakama imemuachia huru kwa sababu hana makosa wewe uneyatoa wapi na ushahidi wako uko wapi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…