Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.

View attachment 2577142

Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.

Chanzo: Jambo TV
Uongo
 
Kuna kitu kinamiss kwenye huu uzi… Habari haijakamilika hii.
 
Maridhiano yafike kila mahali, yaishe tu, kesi zenyewe ni za kisiasa mwanzo mwisho
 
Hajaachiwa mi nipo mahakamani moshi hapa
 
Nadhan saiv kanyooka ule ujinga wa Kujimwambafy umeisha kulaaleekii!!
 
Namwonea huruma kuachiliwa kwa mambo alio fanya live bila chenga tofauti na wengine wakifanya nyuma ya pazia.
Mtaani patakua pagumu kuliko gerezani nashauri walio mwachia wampe na ulinzi
 
Haya sasaivi hana polisi, hana cheo, hana Magu, hana hela, hana afya na pengine hana mirinda... bariidi
cc Wajeshi vichaa wa mbowe
 
Media za Tanzania hovyo sana watatu wanatumiana uongo uongo tu hakuna ukweli wowote Sabaya bado hajachiwa

USSR
FB_IMG_1680695730940.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1680695742008.jpg
    FB_IMG_1680695742008.jpg
    43.6 KB · Views: 2
Tunategemea kwa kuwa amekiri makosa basi asipewe kabisa cheo serikalini..awe blacklisted......na kwa kuwa amekaa jela mda sasa..basi adha ya jela...kama ki.firo n.k amekutana nayo.

Hivyo hatutegemei arudie tena makosa.
 
Ama kweli tutafute sana hela na ikishindikana basi tutafute ata connection za grade za Taifa

Maana haya maisha hayajawahi kuwa Fair ata siku moja, Ambao hawana HATIA siku zote wanaozea JELA

NB: sijasema jamaa Ana HATIA
Ushauri wako nimeuelewa sana
 
Back
Top Bottom