Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ule uzi wa warangi sikukuona ukichangia walau kidogoAmejifunza kitu
Ova
Yuko mtaa gani!? au Kisongo nako ni mtaani...!?[emoji24]Hongera sana Sabaya Mungu ni mkubwa sana sasa upo mtaani waliokufitini wataona aibu kubwa sana
USSR
UongoAliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.
View attachment 2577142
Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.
Chanzo: Jambo TV
Amesamehewa na mahakama...kalaghabahoAmesha tubu dhambi zake zote!? Katoka vp huku alikua ndani ya kifungo tayari!!? Katoka kwa utaratibu upi
Amenyooka kisawaswa, nadhan hawez rudia tenaa!!Hongera sana Sabaya Mungu ni mkubwa sana sasa upo mtaani waliokufitini wataona aibu kubwa sana
USSR
Karibu uraiani kijana,ila kaa na watu vizuri,maisha utayaona mazuri,ukikaa nao vibaya unaweza kujikuta ukiishi kama shetani.Amejifunza kitu
Ova
Ujinga ule aliofanya hatorudia asilani!! Kanyooka vilivyo!! Saiv ataku wa baridi kama barafuTimu gaidi watanyooka tu wasiyempenda anakuja
Hao watu wengi aliosema wako wapi au macho yake yana majeneza🤔Mtoa mada huna akili
Ila atakuwa na heshima debe, sio kabla ya kuonja jela😂Utasikia amekuwa mkuu wa mkoa, usishangae. Alikuwa mtendaji mzuri enzi ya JPM.
Ushauri wako nimeuelewa sanaAma kweli tutafute sana hela na ikishindikana basi tutafute ata connection za grade za Taifa
Maana haya maisha hayajawahi kuwa Fair ata siku moja, Ambao hawana HATIA siku zote wanaozea JELA
NB: sijasema jamaa Ana HATIA