Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja
Hongera sana Sabaya Mungu ni mkubwa sana sasa upo mtaani waliokufitini wataona aibu kubwa sana


USSR
Haiondoi ukweli kwamba Ni mhalifu na alitenda watu unyama mwingi. Muuuaji yule!
 
Hongera sana Sabaya Mungu ni mkubwa sana sasa upo mtaani waliokufitini wataona aibu kubwa sana


USSR
CCM huwa hawafungani jela Ila wanatiana Jamba Jamba tu.

Serikali ya CCM imfunge mwanaccm mwenzako, watakuwa wamerogwa.

CCM wanajuana. Hapo utakuta Ni order imetoka juu, afutiwe mashtaka yake.
 
Halafu mvuta joint na mwizi wa kuku wanaozea jela

Jambazi Mkuu wa Wilaya anasamehewa ili aje kupumzika na mastupid huku uraiani.
Anarudi kufurahia mabilioni yake.

2025 Ni mgombea ktk Jimbo fulani, na atapita bila kupingwa.
 
Anarudi kufurahia mabilioni yake.

2025 Ni mgombea ktk Jimbo fulani, na atapita bila kupingwa.
Hio inaonyesha kwamba Watanzania tuko peke yetu hakuna pa kukimbilia ili kupata justice.
 
Me naona bora tu ameachiwa kwasababu washirika Wake hawapo hatiani na serikali haiwagusi kwani wapo juu ya sheria..
So It didn’t make sense kumshikilia mmoja na kuacha kundi lake. Nonsense!
Sheria ni upanga ingetaka kote kote, anyway wenye nchi waendelee kula tunu za Taifa.. wengine tuendelee kulalamika Jamiiforum na kwingineko huku tukipambana kutafuta mkate wenetu wasitie huzuni [emoji205][emoji1466]‍🦯[emoji81]
 
Ibada ya kushinda kesi ya mchongo, mbowe yeye aliombewa msamaha na akina ZITTO waliolamba asali.
Hajashinda kesi yoyote mbwa wewe,amekiri na kulipa,Mbowe hakulipa chochote kwa kuwa hakukutwa na hatia na mahakama, hebu kaoge mtoni ukalale pimping wewe
 
Nyie ni majinga kabisa,huyu jambazi amekiri na amekubali kulipa plea bargains, maana yake ni mtu asiyeaminika na wala si mtu sahihi kupewa madaraka yoyote tena,cha kushangaza ni kuwa amekiri kupora milioni 50 halafu anaambiwa amlipe aliyempora shilingi milioni 5 tu,hizo 45 huyu mhanga anazipataje?
Mbona gaidi yeye Bado nikiongozi wakoo?
 
Kabla sijaju nilikuwa nashangaa kwa nini wakazi wa wilaya ya Hai hapa Bomang'ombe wamelipuka kwa shangwe namna hii, kumbe dakika chache zilizopita mahakama ya wilaya ya Arusha imemwachia huru kijana mchapakazi na aliyeikomboa wilaya ya Hai kutoka kwenye makucha ya wauza madawa ya kulevya Lengai Ole Sabaya ameachiwa huru!
Mahakama imemsafisha Sabaya kuwa ni kijana safi asiye na kosa lolote na aende kuendelea na shughuli zake ikiwemo kutimiza ndoto yake ya kuwa mbunge wa wilaya ya Hai.
Unajua maana ya please bargain? Amekiri na kulipa shilingi milioni 5,jinga wewe
 
Duh, at last.
Lesson learnt the hard way.

Viongozi wengine mjifunze... power is no permanent and is always shifting... just eat your cake and behave.

Ule ujinga aliokuwa anaf1anya nadhan amepata fundisho maisha yake yote.

But... one thing.

Sheria ni za watu masikini?

Ukate watu masikio na miguu, upige watu, upore mali za watu na bado unaambiwa upo huru....
yale mabwabwa yake yamepata aibu baada ya yeye kukir makosa wakati wakati yenyewe huwa yanasema anaonewa.
 
Ameshinda kesi?
Mkuu ungenyamaza tu wetu wasingejua umjinga,ameshindaje ikiwa amekiri makosa na kupelekea pleabargain ifanye kazi?


Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
 
Wakili msomi amesema Lengai Ole Sabaya baada ya kuachiwa huru na mahakama ,sasa kisheria yuko huru kugombea na kushinda kuwa mbunge wa Hai au kuteuliwa kuwa kiongozi yoyote.
Sabaya kisheria hana kikwazo chochote cha kuwa kiongozi.View attachment 2577499
IMG-20230405-WA0327.jpg
 
Back
Top Bottom