Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja
Ilibid atolewe muda mrefu tu, kesi imepigwa sana tar ili kusubiri report ya CAG, Moto bungeni na mtaani umeanza kuwaka ndo wameona wamtoe ili tusahau report, kesho vyombo vyote vya habari ni kuhusu jamaa

Ametolewa leo ili kuficha madudu report ya CAG
Una akili sana bro. Na wabongo tunavyopenda kuendeshwa na matukio tayari tutasahu ya CAG na kuanza kumuongelea bwana jambazi, mwizi, muuaji.
 
Bila adhabu vipi na kahukumiwa mwaka mmoja na kulipa fine

Sema mwaka wake anautumia nje kwenye shughuli za kijamii
 
Bila adhabu vipi na kahukumiwa mwaka mmoja na kulipa fine

Sema mwaka wake anautumia nje kwenye shughuli za kijamii
Usengemwingi Qmanyoko yaan kumaanisha kwamba ? Polepole akasome Cuba ?
 
Kama kweli ,kizimba ninoma HAKIMu anatoa nafasi ya kujitetea ,anataja sababu ndoa!!! Kweli
 
Aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mh Lengai Ole Sabaya amehukumiwa Kifungo cha Nje cha Mwaka mmoja baada ya kukiri makosa na kuomba mahakama imwangalie kwa jicho la huruma

Source ITV Habari
Huu ni udhaifu mkubwa wa mahakama zetu na pia ni dharau kwa watanzania!
 
Back
Top Bottom