Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Kwenye hiyo kesi ya sabaya.

Jaji anaishauri Jamhuri hata isipoteze muda kukata rufani maana kilichofanyika mahakama ya hakimu mkazi ni sifuri.

Ni vigumu sana kushinda kesi zinazopelekwa kwa mihemko ya kisiasa.

Maswala ya kisiasa yatafutiwe suluhu za kisiasa.

Kama walitaka kumwadabisha Sabaya wangemfuta UDC ingeishia pale.

Ila ni matumizi mabaya ya resources za serikali kupeleka mahakamani kesi za kukomoana na kufurahishana bila kuwa na ushahidi wa kutosha.
 
Watanzania ki ukweli wanajuwa kuzimwa wakihemka kwa tatizo lolote kwa kuletewa jambo jingine Tata ili watoke kwenye reli na hii serikali ya CCM.
Issue ya mafuta ya Petrol ilikuwa imefika hatua mbaya na tishio kwa serikali hii, lakini kilichotokea kama yatokeavyo mengine ni kuwa Hukumu ya Sabaya ikaonekana ifanywe sababu.
Ili watu wachukie, ni kumuagiza Jaji aende kinyume na jambo lililo wazi kuhusu kesi hiyo na mjadala wenye hasira utaondoka kwenye ongezeko la bei ya Petrol na kuhamia kwa Sabaya.
Hakika CCM inajua kuwachezea Watanzania!
Nchi ina Viongozi vipofu wasioona maisha ya Wananchi wao
 
Binafsi naiona ni AIBU KUBWA kwa Ofisi ya DPP kushindwa KESI YA WIZI wa KUTUMIA SILAHA na NGUVU iliyokuwa inamkabili MTEULE wa RAIS DC SABAYA
KESI ilitakiwa iwe KIELELEZO na FUNDISHO kwa Wateule Wa RAIS wanaotumia MADARAKA YAO Vibaya kwa
KUTESA
KUPIGA
KUONEA
KUDHURUMU WANANCHI na KUWAUA kama alivyofanya DC SABAYA lakini Uzembe na Kutokuwa Makini kwa MAWAKILI wa SERIKALI wameshindwa KESI na SABAYA


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ni Aibu kwa serikali kumuachia Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chama cha siasa cha CHADEMA nchini Tanzania.

Katika kesi ya UGAIDI iliyokuwa ikimkabili na kuishia kumfutia mashtaka.

Pamoja na ushahidi wa mashtaka kuthibitisha kuwa Mbowe ana kesi ya kujibu mahakamani.
 
Watanzania ki ukweli wanajuwa kuzimwa wakihemka kwa tatizo lolote kwa kuletewa jambo jingine Tata ili watoke kwenye reli na hii serikali ya CCM.
Issue ya mafuta ya Petrol ilikuwa imefika hatua mbaya na tishio kwa serikali hii, lakini kilichotokea kama yatokeavyo mengine ni kuwa Hukumu ya Sabaya ikaonekana ifanywe sababu.
Ili watu wachukie, ni kumuagiza Jaji aende kinyume na jambo lililo wazi kuhusu kesi hiyo na mjadala wenye hasira utaondoka kwenye ongezeko la bei ya Petrol na kuhamia kwa Sabaya.
Hakika CCM inajua kuwachezea Watanzania!
Acha kulia kulia
 
Muachieni kabisa wala hakuna haja ya kutumia kodi zetu kuendeleza shauri lolote dhidi yake. Tunafahamu wazi sasa ni kiini macho proper. Mahakama yetu wananchi ilisha mtia hatiani zamani mno. Makosa ya kubaka binti zetu ishirini na mwingine ni bint yangu mwenyewe aliyekuwa anasoma chuoni Arusha. Ameua watu kumi maCHAame na naruMU. Aliwalawiti vijana watatu na kuwatupa kikatiti. Ametesa watu kuliko shetani mfano mmoja ni wale aliowakata manikin na wengine kuwapigilia misumari miguuni. Yule aliyeingizwa chupa sehemu za siri bado yupo.

Hukumu yake ilitoka zamani nayo ni kifo. Ahsante mahakama kwa kumuachia na karibu sabaya Arusha, Moshi, Hai, kibosho, Machame. Karibu Dar, karibu kaskazini, kusini mashariki au mangharibi TUPE FURSA YA KUTEKELEZA HUKUMU YETU WAATHTIRIWA. sasa tupo tayari kwa lolote.
Huna ubavu wa kumfanya Sabaya lolote!

Huko rombo si ndio mnakopigwa na wake zenu?
 
Mbowe alivyoachiwa na hao² Majaji Mahakama hazikupoteza Credibility Ila Kwa sabaya zimepoteza Sio?
Mbowe alipoachiwa nipo katika rekodi nikisema mfumo mzima wa mahakama ni mbovu

Hakimu alitoa maoni kwa kusema hivyo, kwa kesi ya Sabaya hakimu anasema maoni si hukumu

Hawa ni mahakimu wa mfumo mmoja wa mahakama wa nchi hii

Hoja si nani kaachiwa nani kafungwa, hoja ni kwamba mfumo mzima wa mahakama umepoteza credibility na integrity.

Aliyethibitisha hilo ni CJ Ibrahimu Juma akisema mahakama zitoe hukumu si kwa kuangalia sheria bali mhimili mwingine unasemaje.

Kwa kesi ya Sabaya sishangai kabisa kwanini imetokea hivyo.

Nilishangaa sana kwanini alikuwa Magereza kama mfungwa.

Sabaya , Bashite waliongoza genge la vijana wa JPM kufanya mambo yasiyosemeka.

Hawa vijana wamebeba ' vitu vizito vifuani mwao' si wa kutweza tu !

JokaKuu
 
Muachieni kabisa wala hakuna haja ya kutumia kodi zetu kuendeleza shauri lolote dhidi yake. Tunafahamu wazi sasa ni kiini macho proper. Mahakama yetu wananchi ilisha mtia hatiani zamani mno. Makosa ya kubaka binti zetu ishirini na mwingine ni bint yangu mwenyewe aliyekuwa anasoma chuoni Arusha. Ameua watu kumi maCHAame na naruMU. Aliwalawiti vijana watatu na kuwatupa kikatiti. Ametesa watu kuliko shetani mfano mmoja ni wale aliowakata manikin na wengine kuwapigilia misumari miguuni. Yule aliyeingizwa chupa sehemu za siri bado yupo.

Hukumu yake ilitoka zamani nayo ni kifo. Ahsante mahakama kwa kumuachia na karibu sabaya Arusha, Moshi, Hai, kibosho, Machame. Karibu Dar, karibu kaskazini, kusini mashariki au mangharibi TUPE FURSA YA KUTEKELEZA HUKUMU YETU WAATHTIRIWA. sasa tupo tayari kwa lolote.
Wishful thinking!
 
Ni Aibu kwa serikali kumuachia Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chama cha siasa cha CHADEMA nchini Tanzania.

Katika kesi ya UGAIDI iliyokuwa ikimkabili na kuishia kumfutia mashtaka.

Pamoja na ushahidi wa mashtaka kuthibitisha kuwa Mbowe ana kesi ya kujibu mahakamani.
Hakutiwa hatiani na hakupelekwa magereza kama huyu mbwa wenu aliyekuwa ameanza kutumia choo cha ndoo! Narudia tena mleteni mtaani kwetu tu!
 
Back
Top Bottom