Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

MAANDIKO yanaema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, sababya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akiridhi kwa baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.
Babake alikuwa muuaji na mtu aloumiza watu wengi sana, so mtoto kafuata nyayo za babake! Babake aliwahi kuchoma nyumba za wananchi wa kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya haki za binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa serikali iwalipe fidia milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.
Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo? Akahamishiwa Songea akampiga makofi katibu tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa sekondari za kata, katibu tarafa akamkaba zikapigwa ndo wacha wacha ya OCD ikaamua ugomvi!

Akafikishwa kamati ya maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Kikwete katika badilisha badilisha ya ma-DC akamtupia virago! Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu! Akajiuzulu, Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la u-DC ( yeye na Sumaye wameoa mji mmoja
Weka picha yake mkuu, je yupo hai?
 
yaan hipo hivo hawez kurudi tena madarakani amechezea bahati kusimamishwa ndo kufukuzwa kwenywe sasa ila waafrika hawaambiwi ukweli km wazungu
Kwenye Katiba Kuwe Na Kipengele Kuwa Kiongozi Yoyote Anapotolewa/Kusimamishwa Madarakani Kutokana Na Mapungufu/Makosa Fulani Fulani,Basi Katiba Iseme Hatakiwi/Hastahili Kuwa Kiongozi Tena For The Rest Of His/Her Life, Au Hata Kwa Kipindi Cha 30-50yrs. Awe Tu Mwananch
 
Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo? Akahamishiwa Songea akampiga makofi katibu tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa sekondari za kata, katibu tarafa akamkaba zikapigwa ndo wacha wacha ya OCD ikaamua ugomvi!

Akafikishwa kamati ya maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Kikwete katika badilisha badilisha ya ma-DC akamtupia virago! Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu! Akajiuzulu, Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la u-DC ( yeye na Sumaye wameoa mji mmoja
Hakika wewe unawafahamu vyema watu hawa.

Hakika umeongeza mwanga kwa wasiokuwa wakiwafahamu vizuri, baba na mtoto.

Kuna mambo mengi ya uonevu wanaofanyiwa wananchi na viongozi, lakini yanavungwa vungwa tu na wananchi wanakosa haki zao. Hawa viongozi wako juu kabisa ya sheria za nchi kiasi kwamba hawawezi kuwajibishwa!
 
Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?

Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.

Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.

Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.

Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Baba yake naye alikuwa analindwa kama Yeye. Madhambi yote hayo bado anapewa nyadhifa. Waganga wao wako vizuri
 
Habari za Thomas Ole Sabaya ( Baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya) na ukatili wa kuchoma nyumba za Wanakijiji wa Nyamuma wengi wanazijua! Alisemwa sana kwa Rushwa na ukatili kama mwanaye Ole Sabaya Leo!

Siku zote tunasema uongozi bora huanzia ngazi ya familia! Familia ikiwa na maadili mabovu products zake pia huwa mbovu!

Watoto wako wanaona utajiri wako na mali zako unapata kwa njia za ukatili, damu ( kuua watu) na rushwa,unajisifia lakini tambua mbeleni athari zake ni kubwa na mbaya sana kwa kizazi chako!

Waziri Mkuu mmoja mstaafu aliwahi kunukuliwa akimzungumzia Lengai Ole Sabaya kwa kusema," Like a father like a son"!
 
Tabia hiyo ilikomaa enzi za jiwe.
Hakika wewe unawafahamu vyema watu hawa.

Hakika umeongeza mwanga kwa wasiokuwa wakiwafahamu vizuri, baba na mtoto.

Kuna mambo mengi ya uonevu wanaofanyiwa wananchi na viongozi, lakini yanavungwa vungwa tu na wananchi wanakosa haki zao. Hawa viongozi wako juu kabisa ya sheria za nchi kiasi kwamba hawawezi kuwajibishwa!
 
Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?

Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.

Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.

Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.

Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Mbona mke wa sumaye ni mchaga ndugu,ukweli upo hapa kweli?
 
Back
Top Bottom