Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?

Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.

Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.

Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.

Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Ona sasa kaburi limechimbuliwa. Kumbe familia ya Sabaya ni ya laana. Laana zinawatafuna.
 
Mr. Mkiki nimekumbuka ile thread yako ilikaribia kupasua simu zetu hapa JF..."Anayejua Anakotupeleka Magufuli naona kama tumepotea"

Uliona mbali sana Mkuu; Kwa kweli Mungu ni mwema
Ile nyuzi ilikuwa ya Mr Mkiki?
 
Mr. Mkiki nimekumbuka ile thread yako ilikaribia kupasua simu zetu hapa JF..."Anayejua Anakotupeleka Magufuli naona kama tumepotea"

Uliona mbali sana Mkuu; Kwa kweli Mungu ni mwema
LORI LILIKUWA linadumbukia kitonga, hali ilikuwa mbaya sana.
 
Ona sasa kaburi limechimbuliwa. Kumbe familia ya Sabaya ni ya laana. Laana zinawatafuna.
IMG-20210514-WA0012.jpg
 
Kumbe nyoka azae chura?Sabaya ni mwana wa nyoka kwa kuwa baba yake alikuwa joka.
Hawa ndio viongozi ambao wanatengenezwa na CCM
Nchi hii inahitaji watu wahiv maana vijana wamelala sana, mkipata kashikash hata ccm mtaitoa magogon
 
Na leo hii Mzee huyu ameteuliwa kugombea Uenyekiti wa CCM
Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.
leo 25-11-2022 Sabaya " Mussolin" anaendelea kunyea ndoo gereza la Karanga, na hataki kutubu kwa watu aliowatesa na kupora mali zao, kujutia wanawake alio wa naniluu , na wake za watu.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti. DC mkatili kuwahi kutoea .

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?

Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.

Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.

Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.

Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
 
Na leo hii Mzee huyu ameteuliwa kugombea Uenyekiti wa CCMAliyeteuliwa
Aliyeteuliwa na Baba yake Ole Sabaya-Mtekaji na jambazi ambaye hajatiwa hatiani kutokana na ukilaza wa mawakili wa serikali lakini si kutokana na kutotenda.
Mahakama imejiridhisha alikuwa anavamia maduka kwa silaha ila mahakama ikasema ni sawa maana alikuwa anatafuta wakwepa kodi.
Je, sasa wakuu wote wa wilaya wapewe AK-47 waingie Kariakoo na kwengineko kukusanya kodi?
 
Back
Top Bottom