Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....

Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah [emoji39]
Dada yake mmoja nilimuona Songea wakati baba yake akiwa DC mtoto mzuri mweupe,mama yao naye ni mweupe.
 
Ndio kazi yake
87c2de45fc674977aa4e4e5e9d990bd0.jpg
 
Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?

Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.

Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.

Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.

Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Kumbe kalikua kaenda kunywa chai kwa PM hapo kiluvya aisee
 
Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....

Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah 😋
Nimemaliza pale 1994, tukienda kulima mashamba ya shule kyarano kwa miguu, mademu wanapanda kenta (nothing but the best) na trekta. Miaka yenda mbio kweli, oktober 2 ndio tumeimalizia ikiwa mwishoni kabisa hahaha.
 
Kwenye Katiba Kuwe Na Kipengele Kuwa Kiongozi Yoyote Anapotolewa/Kusimamishwa Madarakani Kutokana Na Mapungufu/Makosa Fulani Fulani,Basi Katiba Iseme Hatakiwi/Hastahili Kuwa Kiongozi Tena For The Rest Of His/Her Life, Au Hata Kwa Kipindi Cha 30-50yrs. Awe Tu Mwananchi Wa kawaida.
ingeleta utu, woga, NIDHAMU pia
 
Sabaya amesafiri toka Arusha, akaja Dar akataka kulazimisha kwenda ikulu bila protokali, Wakamwambia utaratibu wa kumuona Rais kwa DC unaanzia kwa RC wako kule Kilimanjaro, kisha ukifika Dar unaripoti kwa RC wa Dar ndipo unapewa appointment....mamaeeh!

Kutoka jamhuri ya watu wa twita!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hawa nadhani ukoo wao wote umelaanika. Haistahili kuteua wala kuchagua kwenye nafasi yeyote ya kuwa kiongozi kutoka kwenye ukoo huu wa laana.
 
Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.

Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.

Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.

Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.

Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.

Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?

Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.

Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.

Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.

Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Kumbe nyoka azae chura?Sabaya ni mwana wa nyoka kwa kuwa baba yake alikuwa joka.
Hawa ndio viongozi ambao wanatengenezwa na CCM
 
Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....

Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah 😋
Picha ya dada tafadhari
 
Back
Top Bottom