Labda mtoto wa nje wa. AminiAmefanana na Idd Amin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mtoto wa nje wa. AminiAmefanana na Idd Amin
Nigrastratatractnigrastratatract
Baba yake alikuwa mtu bomba sana labda useme babu mzaa mama kwani amekulia Hai kuliko huko serengeti.
Dada yake mmoja nilimuona Songea wakati baba yake akiwa DC mtoto mzuri mweupe,mama yao naye ni mweupe.Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....
Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah [emoji39]
Thomas Sabaya yupo baada ya kustafu u DC aligombea ubunge kwao Arumeru mwaka 2015.alishindwa na mgombea wa Chadema.Naskia kuna wakati wananchi walitaka
Mfanya kitu mbaya
Hivi huyo mzee sabaya yupo
Ova
Kumbe kalikua kaenda kunywa chai kwa PM hapo kiluvya aiseeMaandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.
Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.
Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.
Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.
Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.
Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?
Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.
Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.
Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.
Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Nimemaliza pale 1994, tukienda kulima mashamba ya shule kyarano kwa miguu, mademu wanapanda kenta (nothing but the best) na trekta. Miaka yenda mbio kweli, oktober 2 ndio tumeimalizia ikiwa mwishoni kabisa hahaha.Sabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....
Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah 😋
ingeleta utu, woga, NIDHAMU piaKwenye Katiba Kuwe Na Kipengele Kuwa Kiongozi Yoyote Anapotolewa/Kusimamishwa Madarakani Kutokana Na Mapungufu/Makosa Fulani Fulani,Basi Katiba Iseme Hatakiwi/Hastahili Kuwa Kiongozi Tena For The Rest Of His/Her Life, Au Hata Kwa Kipindi Cha 30-50yrs. Awe Tu Mwananchi Wa kawaida.
Sumaye akamlea, akaambukiza kiburi na jeuri mpaka kwa watoto madhara yake yamekuja umiza wengineYule mshikaji alifanya ukatiri mkubwa sana huko Serengeti.
Huyo ni Yahaya amefoji akipigwa kesi ya kufoji sababu RSO alisema hawana mtumishi kama huyo.Ndio kazi yakeView attachment 1785059
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi alibeba condom kweli?VYa kurithi huwa vinazidi ,huyu alienda mbali zaidi maana alikuwa anataka kwenda kumbaka Nandy akiwa hotelini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sabaya amesafiri toka Arusha, akaja Dar akataka kulazimisha kwenda ikulu bila protokali, Wakamwambia utaratibu wa kumuona Rais kwa DC unaanzia kwa RC wako kule Kilimanjaro, kisha ukifika Dar unaripoti kwa RC wa Dar ndipo unapewa appointment....mamaeeh!
Kutoka jamhuri ya watu wa twita!
Kumbe nyoka azae chura?Sabaya ni mwana wa nyoka kwa kuwa baba yake alikuwa joka.Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake.
Ole Sabaya kakulia Serengeti kwetu wakati Baba yake Thomas Ole Sabaya akiwa DC wa Serengeti.
Babake aliumiza Watu wengi sana, Mtoto kafuata nyayo za babake. Baba yake aliwahi kuchoma Nyumba za Wananchi wa Kijiji cha Nyamuma akidai wamejenga hifadhini na ni Raia wa Kenya.
Baada ya kuzichoma huku wengine wakifia humo aliwasomba na magari kuwapeleka mpakani na kuwabwaga huko akidai si watanzania! Serikali ya Kenya ikawakataa na kuwapa masaa waondoke upande wa Kenya maana haiwatambui.
Alifikishwa Tume ya Haki za Binadamu ambapo alitiwa "hatiani" na kuamriwa Serikali iwalipe fidia Milioni 800 na kuwarejesha maeneo yao.
Tume ya Haki za Binadamu ikamfungulia mashtaka Mahakama Kuu lakini mpaka leo Jaji wa kusikiliza kesi hiyo hajapangwa! Imagine tangu utawala wa Mkapa mpaka leo?
Akahamishiwa Songea akampiga makofi Katibu Tarafa kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Sekondari za Kata, Katibu Tarafa akamkaba zikapigwa hadi OCD alipoamulia ugomvi.
Akafikishwa Kamati ya Maadili ya CCM akatiwa hatiani kwa kosa la kupigana hadharani, baadae Jakaya Kikwete katika badilisha badilisha ya Ma-DC akamtupia virago.
Ikumbukwe kabla ya kuwa DC Serengeti alikuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arumeru ambako Wananchi walimkataa wakaandamana wakachoma Nyumba yake kwa kupandisha kodi ya maendeleo ( kichwa) kutoka 3000 mpaka 5000 bila kushirikisha mtu.
Akajiuzulu, Fredrick Sumaye akiwa Waziri Mkuu akampa pande la U-DC ( Yeye na Sumaye wameoa Mji mmoja)
Vipi alikuwa asukumi mmea huyu dogoPrimary na sec amesomea Serengeti lakini
Aina hii ndo yule bwana ndie aliwatakaHawa nadhani ukoo wao wote umelaanika. Hakustahili kuteuliwa wala kuchaguliwa yeyote kuwa kiongozi kqenye ukoo huu wa laana.
Picha ya dada tafadhariSabaya pale Ikizu sekondar alikuwa na kikundi cha wanyanyua vyuma , aisee majamaa walikuwa wa mwisho kuingia dinning na hamruhusiwi Kula mpak hcho kikundi kiingie dining , alishawah mgeuza taya jamaa yangu wakifanya mazoezi ya ku-nfu uwanja wa Mpira shule usku , kundi la Sabaya bila Shaka ndo walikuwa architecture wa shule ya Ikizu kuchomwa Moto mwaka 2006 mi nikiwa form one jamaa akiwa form four .....
Baada ya shule kuchomwa Baba yake akiwa mkuu wa wilaya ya Serengeti alitia timu Kesho yake na defender za kutosha na kutimua wanafunzi wote with in 24 hrs ...
Sabaya alikuwa mbabe zaidi ya maelezo .... Ila ana dada yake mzur kinyama daaah 😋
Nikikumbuka tabia za baba yake na nikisikia ya huyu dogo hainishangazi, zero brain kabisa,nimekaa naye sana.Baba yake naye alikuwa analindwa kama Yeye. Madhambi yote hayo bado anapewa nyadhifa. Waganga wao wako vizuri