Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Mbowe ni 30+ hahaha aisee ni nouma. Waliokuwa wanashangilia ya Sabaya sasa tusubiri tena ya Mbowe
 
Tunawaomba itakapofika zamu ya Mkiti watoe ushirikiano kama wa leo
 

Huyo Mpuuzi ameharibu sana uchumi wa wafanyabiashara ili amridhishe mchumba wake.
 
Huu mchezo umekaa kimkakati sana.

Bado naamini jamaa atatoka.

Kuna watu wanabeba credit for now. ! Tukisahau atarudi mtaani soon.

kuna watu hawajui michezo michafu inachezwaje.
 
Kwa mwenendo wa kesi ya Mbowe na ushahidi ulipofikia hakuna jinsi mahakama itaweza kufanya kupitisha hukumu.

Upindishaji wa haki upo ila sioni bado uchochoro wa judge kupita ili Mbowe nae ale mvua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…