Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Kwani wana kesi zinazofanana? Ama makosa yao ni sawa. Hii naona kama kauli ya kujifariji ya wakereketwa wa Sabaya. Ushahidi wa wizi na udhalimu wa sabaya nani asiyeujua ama kuusikia?
Kubalansi wote Kuachiwa imeshindikana hivyo balansi inayofanyika sasa ni Wote kwenda Jela ili Jumuiya ya Kimataifa ione kuna Haki na hakuna anayeonewa Tanzania.
 
... unajua ikoje? Iko hivi, ugaidi wa Mbowe ni kutaka kuwadhuru "viongozi" wa serkali; na kiongozi wa serikali anayetajwa kutaka kudhuriwa na "gaidi" Mbowe ni Ole Sabaya ambaye mahakama leo imeuthibitishia ulimwengu kwamba ni JAMBAZI LILILOKUBUHU na limekatiwa miaka 30 jela!

Sasa najiuliza, ugaidi wa Mbowe ulikuwa kulifanyia ugaidi jambazi tena jambazi lililotumia zana za moto? Jambazi lililojificha kwenye mwamvuli wa ukuu wa wilaya aka DC? Mbowe sio gaidi!
 
Sasa tusisikie mahakama haitendi haki kwa gaidi
Alikugaidia mamayo?

Au nani tutajie?

Ninani nchi aliyekaa na kusema mbowe anaudhuluma huu na huu kwa kufanya ugaidi?

Mbona kwa sabaya watu wengi Walton ushidi wa aliyoyatenda kuwa alikuwa nijambazi lillilojifisha nyuma ya uongozi wake.

Madai ya kudai katiba mpya ndio ugaidi unaousema?

Mbona mnakuwa hamna hoja bali mnafuata mikumbo ya policcm inayotumia madaraka yake vibaya hata ukisikia policcm akisema nilimfinya mke wako utaamini kwasababu amesema policcm wakati hakuna ushahidi unaothibitisha.

Wacha ujuha wewe kenge.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe pia ajipange...usisahau hili
Mimi kama mwana ccm, Sabaya tulishamuonya sana hapa JF,

Siasa sio uadui, Mimi ni ccm lakini mtu wangu wa karibu hana chama kabisa

Yeye anapenda mpira sana na ni shabiki wa Timu ambayo Mimi Siipendi kabisa hapa Tanzania

Siku wakishinda Yeye na watoto wanashangilia na kunizomea week nzima mpaka pale watoto watakapo sahau ndio pona yangu

Hata ccm tukishinda wananicheka sana, Wanaona nina mawazo ya kizamani kisa kuwa ccm

Sabaya aligeuza siasa vita na ubaguzi

Sasa kama nina ndugu wengi Chadema, Act na CUF na CCM na tunaishi kwa Amani na kushirikiana

Sabaya Yeye nani?
 
Hivi ni kweli Magufuli alikuwa hajui chochote kuhusu uovu wa Sabaya?
 
Vile navyomuona Lengai Ole Sabaya na Daudi Albert Bashite
 
SASA TAASIS ZIKO HURU KUTOA HUKUMU KWA HAKI, TUNASHUKULU.. ILA PIA KAMA ZIKIFANYA HAKI NA KWA YULE JAMAA BASI TUSIONE NONGWA
 
Hahahaha! Eti mahakama imuonee huruma kuwa amelipa mahari Kwa mchumba wake
 
Hivi ni kweli Magufuli alikuwa hajui chochote kuhusu uovu wa Sabaya?
Kwa utawala uliojinadi Kila kitu kinaenda saw na sifa zote zili na Chelsea kuamini kama haya yalitokea Kwa bahati mbaya.
 
Baaada ya miezi/miaka kadhaa, utashangaa Mahakama kuu/ya rufaa imetengua hukumu yake kwa sababu ya bla bla gani sijui za hapa na pale zilizo kiukwa!

Dah! Ila Dogo naye alijisahau sana. Na hapo bado ana kesi nyingine ya uhujumu uchumi! Idugunde wapi ulipo mkuu! Pole sana. Hatimaye yametimia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…