Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeacha ku bet ?
Hey people,
Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada
Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo
Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)
Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi
Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee
Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu
Cheers to 2025 🥂
View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared
Mie naomba msaada hapa wa kiuchumi.
Man utd vers newcastle nataka weka laki...niweke o2.5 au GG?
Ms. Joanah Asante kwa kutukumbusha, aisee hata Mimi huo uzi wa Mpauko Leo mchana niliusoma aisee nilisikitika sana kwa Baadhi ya comments za watu.
Ubarikiwe sana na umefanya jambo jema sana kutukumbusha. Sisi binadamu sio kitu kabisa. Afya, kipato na muonekano huwa unatufanya tuwe na kiburi na maringo.
Allah akubariki sana.
Ni inaogopesha Swahiba?Ila nyie inaogopesha,.
Watu wanajiua kweli aiseeNi inaogopesha Swahiba?
Hakika yatapita lkn nina imani huenda yakaniachia msongo wa mawazo ambao sijawahi kuupitia ktk maisha yngu aibu ninayoenda kukabiliana nayo ni kubwaKwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu
Betting inakupotezaHapana mkuu
Hiyo kitu kuacha ni sawa na ile kitu kuitenganisha na hii kitu
Hakika yatapita lkn nina imani huenda yakaniachia msongo wa mawazo ambao sijawahi kuupitia ktk maisha yngu aibu ninayoenda kukabiliana nayo ni kubwa
Imani ndogo sana na kila mtu ana Changamoto zake lakini Namna ya kuzikabili ndio shidaWatu wanajiua kweli aisee
Yeah ni kweliImani ndogo sana na kila mtu ana Changamoto zake lakini Namna ya kuzikabili ndio shida
SahihiBInadamu tumeumbiwa kusahau
Aibu na msongo wa mawazo ni mambo ya kupita na kusahaulika....si unajua ule usemi wa "kikubwa uhai"