Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui

Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui

Hey people,

Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada

Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo

Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)

Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi

Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee

Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu

Cheers to 2025 🥂



View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared

Ngoja na Mimi nianze kuwa mtu mwema.
 
"Everyday plant a good seed that will grow to other "

Goodness has no substitution.

Don't ignore any opportunity to help someone else , the next person who need help could be you.


Rip Mpauko
 
Hey people,

Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada

Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo

Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)

Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi

Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee

Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu

Cheers to 2025 🥂



View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared

Umeongea vema sana.lingine tujifunze kusamehe na kupeana second chance.mkuu mm nimechagua kusamehe Ili maisha yangu yawe marefu coz every new day is a second chance.
 
Hey people,

Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada

Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo

Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)

Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi

Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee

Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu

Cheers to 2025 🥂



View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared

Mungu azidi kukuinuq ili uwe msaada kwa wengine.

Kwenye maisha ukipata nafasi ya kumpa mtu msaada ulio ndani ya uwezo wako, fanya hivyo bila kutatqjia ujira ama faida
 
Niliwahi kukutafuta inbox ila hukunijibu i was down na nilikua nahitaji msaada wa mawazo tu ila sijawah kujibiwaga and we did meet back days ila usijali nilipita japo kwa ugumu ila GOD ni mwema…hope ukichek your inbox you will find.
 
Niliwahi kukutafuta inbox ila hukunijibu i was down na nilikua nahitaji msaada wa mawazo tu ila sijawah kujibiwaga and we did meet back days ila usijali nilipita japo kwa ugumu ila GOD ni mwema…hope ukichek your inbox you will find.

Pole sana mkuu kwa uliyopitia

PM yako uliituma 2 October 2024,mimi nilikuja kuingia JF na kuisoma 22 December 2024 huku ikiwa haina option ya kureply....sijui uliifuta ama ni kwanini sina access ya kureply hiyo PM

Hata hivyo; PM haikuzungumzia wewe kuwa down bali kuhusu wewe na mimi tulikutana miaka hiyo Arusha wakati nauza duka la vifaa vya nyumba( Umechanganya IDs )
 
Back
Top Bottom