Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui

L ife is too short tuache kupandisha mabega
 
Mie naomba msaada hapa wa kiuchumi.
Man utd vers newcastle nataka weka laki...niweke o2.5 au GG?

Weka GG manake Man U lazima wapate goli na walivyo wapuuzi lazima waruhusu goli,pengine hata wakafungwa
Sema odds za over 2.5 tamu kuliko za GG

Kwa over 2.5 weka hiyo 100K na mbupu 1....zingatia,mbupu weka 1 tu
 
Ms. Joanah Asante kwa kutukumbusha, aisee hata Mimi huo uzi wa Mpauko Leo mchana niliusoma aisee nilisikitika sana kwa Baadhi ya comments za watu.

Ubarikiwe sana na umefanya jambo jema sana kutukumbusha. Sisi binadamu sio kitu kabisa. Afya, kipato na muonekano huwa unatufanya tuwe na kiburi na maringo.

Allah akubariki sana.
 

Amen mkuu....atubariki sote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…