Watu wanajiua kweli mkuukivip madam
Ngoja na Mimi nianze kuwa mtu mwema.Hey people,
Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada
Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo
Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)
Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi
Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee
Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu
Cheers to 2025 🥂
View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared
Hiyo naifahamu ni changamoto sisWatu wanajiua kweli mkuu
Kwakweli ni Kumwomba Mungu tuHiyo naifahamu ni changamoto sis
Mungu atusaidie
Mkuu inasikitisha mno.Hiyo naifahamu ni changamoto sis
Mungu atusaidie
Aseeh ni hatareMkuu inasikitisha mno.
Umeongea vema sana.lingine tujifunze kusamehe na kupeana second chance.mkuu mm nimechagua kusamehe Ili maisha yangu yawe marefu coz every new day is a second chance.Hey people,
Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada
Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo
Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)
Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi
Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee
Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu
Cheers to 2025 🥂
View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared
Ndio ndio DR HAYA LAND"Everyday plant a good seed that will grow to other "
Goodness has no substitution.
Don't ignore any opportunity to help someone else , the next person who need help could be you.
Rip Mpauko
Mungu azidi kukuinuq ili uwe msaada kwa wengine.Hey people,
Leo katika pita pita za hapa JF nimekutana na moja ya nyuzi nyingi za marehemu,mwanaJF mwenzetu Mpauko ambazo kwa namna moja ama nyingine alizianzisha kwa lengo la kupata msaada
Binafsi huyu member nilizoeana nae kidogo humu jukwaani na ni moja ya kifo kilichoniumiza japo sikuwahi kumfahamu zaidi ya kutumiwa picha yake moja ambayo hadi sasa ninayo
Ajabu ni kwamba huyu marehemu alishawahi kuniPM kuniomba msaada wa jambo fulani lakini PM yake nilikuja kuisoma baada ya uzi wa kifo chake kuwekwa humu sijajua ni kwa namna gani niliacha kusoma PMs chache nilizokuwa nazo kwa wakati ule na sio kawaida yangu(huwa najitahidi kusoma PMs zote kwa wakati)
Lengo la uzi ni kuendelea kukumbushana kutenda wema hata kama mtu humjui,kiufupi hai-cost chochote kuwa mwema,mimi nitajitahidi
Akiwepo mtu anajiona hana wa kumsikiliza, Joanah nipo kwa ajili ya kila mtu,karibuni aseee
Kwa yoyote anayepitia magumu kiafya,kiuchumi ama kinamna yoyote usikate tamaa,yatapita.....mimi naomba 2025 ikawe ya heri kwa kila mtu
Cheers to 2025 🥂
View: https://youtu.be/ro-8dhLL6IU?feature=shared
Niliwahi kukutafuta inbox ila hukunijibu i was down na nilikua nahitaji msaada wa mawazo tu ila sijawah kujibiwaga and we did meet back days ila usijali nilipita japo kwa ugumu ila GOD ni mwema…hope ukichek your inbox you will find.