Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Unampiga pini, ukimuacha huku nyuma bodaboda,wauza bucha,mangi na akina poti wanajigemulia ukiwa kazini...haya ya kuzuia wasifanye kazi ni mawazo ya kijima
Ninaongelea submission. Lakini hata suala la umalaya, kati ya goalkeeper anayekutana na wanaume wachache na mwajiriwa anayekutana na wengi: yupi ana probability kubwa ya kuwa malaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…