Twende Tukaulize Afghanistan!Imagine wanawake millioni 1 wenye uwezo wa kufanya kazi wakae nyumbani kama magolikipa.
Huoni tatizo kwenye uzalishaji na uchumi wa nchi kwa ujumla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende Tukaulize Afghanistan!Imagine wanawake millioni 1 wenye uwezo wa kufanya kazi wakae nyumbani kama magolikipa.
Huoni tatizo kwenye uzalishaji na uchumi wa nchi kwa ujumla?
Sijawahi lakin pia siko mbali sana na hiloKwanza Naomba Kukuuliza Kwa Nia Njema Tu Umeolewa?Au Umewahi Kuishi Na Mwanaume Angalau Mwaka Mmoja?
Hapo sawa tunaenda sambambaHata mimi hicho nakataa
Jifikirie tenaWe kinakuuma nini? muache mke wako akafanye kazi sio wake zetu, Ili pia kusiwe na upinzani auze sana akiwa peke yake, maadam mwenyewe ameelewa ameacha kazi wewe nini kinakuwasha washa? Wanawake zetu ni wafalme wanaume tunawajibika tunawatunza wapendeze tuwafaidi, sio tuwatoe juani wapauke kwa biashara gani? Kwa kazi gani?
Huelewi au?Jifikirie tena
Ina sio vizuri mna wahatibia maisha na wakuwa tegemeziUnakataa wewe kama nani?
Bora pombe bangi noKwa nini usingesema milevi ya pombe?
Ukipanda gari ya dereva aliyelewa pombe vs gari ya dereva alievuta bangi afadhari ni yupi?
NdioHuelewi au?
Sio vizur kwako wewe, kuwabebesha mabeseni ya matunda mboga ndo kujitegemea?Ina sio vizuri mna wahatibia maisha na wakuwa tegemezi
People are dynamic due to the environmentnisikilize mwachiluwi, duniani kuna watu aina mbili; conservatives, na liberals
conservatives wanaishi kitamaduni, wanaangalia dini zinasemaje
liberals wana upokeaji mkubwa wa taarifa, wanashawishika, hawana mhimili mmoja wa kuitazama dunia
sasa kama mtu anaamini mungu kasema mwanamke akae nyumbani, unamshawishi vipi?
haya mambo yapo nje ya uwezo
Kama mada umeanzisha na huelewi kinachoandikwa na kiswahili Kaa kandoNdio
Kwani biashara uliona ni kubeba matunda tu?Sio vizur kwako wewe, kuwabebesha mabeseni ya matunda mboga ndo kujitegemea?
No, they are not.People are dynamic due to the environment
Siku akifa ndiyo atajua.
Mwanamke atakachoweza ni kuolewa na mwanaume mwingine.
Muulizeni Nikifa MkeWangu Asiolewe
Some of them but not all womenNo, they are not.
Changes take years, mostly due to acculturation.
ina maana hujui kuna wanawake pia wana huo msimamo, hawataki kwenda kazini?
That's YOUR take.Some of them but not all women
Due to the life now all of them needed to work hard for welfare of the family and children's
Bora bangi, pombe noBora pombe bangi no
Hamna shida infact litapunguza vijana wa kiume watakaokuwa wanazunguka na bahasha na kupunguza BODABODA na MAAFISA UBASHIRI.Imagine wanawake millioni 1 wenye uwezo wa kufanya kazi wakae nyumbani kama magolikipa.
Huoni tatizo kwenye uzalishaji na uchumi wa nchi kwa ujumla?
Safi sana.Mwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.
Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.
Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.