Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Sio Askari tu, hata Mtendaji wa Kijiji, Secretary nk.
Tena kama Mhasibu ndo kabisaaaaa hao kurudi home usiku ni kawaida tu.
Afisa Utumishi hali kadhalika hao wote kurudi kwao home mpk Boss atake na wewe upo tu wasubiri Boss akupangie muda wa kulala na Mkeo
Ukifanya ivyo basi uto endelea
 
Kila mtu acheze karata zake sion umuhimu wa mke alie ajiriwa hapa nikufanya kile nachotaman kifanyike hasa miradi mikubwa/midogo ntakayo anzisha awe msimamizi na mtoa maamuzi kwa ushirikiano wangu na wake YES
Hapo sawa tuna chozungumzia ni kumkataza kabisa mke kutofanya kazi ata biashara yeye awe nyumbani tu kukaaa
 
Inakuwaje mkifa wote, eti Maisha yamebadilika hakuna kilichobadilika.
Pia uelewe tunatofautiana mawazo ama akili zetu Kama tunavyotofuatiana physically, na ndio Maisha yetu hatufanani.
Wewe fanya unachoona kinakufaa namie ninachoona kinanifaa.
Sasa shida inakuja mie kulazimisha wewe uone nachokiona
 
Inakuwaje mkifa wote, eti Maisha yamebadilika hakuna kilichobadilika.
Pia uelewe tunatofautiana mawazo ama akili zetu Kama tunavyotofuatiana physically, na ndio Maisha yetu hatufanani.
Wewe fanya unachoona kinakufaa namie ninachoona kinanifaa.
Sasa shida inakuja mie kulazimisha wewe uone nachokiona
Oh sawa ila tunajairibu kufikirishana
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Unaujua umuhimu wa goal keeper?
Goal keeper akipewa kadi nyekundu, timu hauchezi bila goalkeeper. Mbona mnadharau sana namna hiyo?

Ni umasikini wako tu, tafuta hela mkeo asifanye kazi.
 
Ukifanya ivyo basi uto endelea
Sijui ni Maendeleo gani unayoyataka.
Mimi nina mamlaka kamili kwa wake zangu wote.
Nalala nao nnapotaka bila mtu mwingine kuwapangia ratiba eti arudi nyumbani kwa kuruhusiwa na boss wake! Lol!
I'm the only boss to my wives and enjoy the life na sioni nakosa Maendeleo gani unayoyataka wewe
 
Nimeuliza ukimuachisha kazi unakuwa unatunza wazee wake km unavowatunza wako?
In a nutshell; jukumu la ku-provide ni la mwanaume regardless whether mkewe ameajiriwa. Ndio maana nilikuuliza kama upo kwenye ndoa maana michango yako ni very amateurish, you seem too theoretical, too naive.
 
Kwamba mke wake ndio mzuri zaidi dunian kote hakuna? Ni upumbavu mwanamke akiamua kuchepuka anachepuka vizur
Mwanamke Aolewi kwa sababu tu Ya Sehemu Zake Za Siri hapana Akikubali Kuolewa Kwa Kiasi fulani Anauza na Baadhi ya Haki na Uhuru wake Kwa Mumewe Inatakiwa Atii,Anyenyekee,Na Asikilize Sasa kwa Asilimia 99.9 Akishakuwa na Ajira Au Biashara Hivyo nilivyovitaja Kimoja kimoja uanza kuondoka kuja kutaamaki Kama havijaamia kwa Boss basi Mfanyabiashara Vitaamia kwenye Hela Heshima yote Itaanza kuyeyuka kama Barafu kwenye Maji na Hiyo Ndo ilivyo Kitakachoendelea Hapo ni Uvumilivu Wa Mwanaume Ndo Utachukua Nafasi.
 
Nafikiri hakuna formula hapa... Hao wanawake magolikipa mnaowaacha nyumbani.....Wanaliwa huko huko nyumbani mlipowaacha.... Pppptttyyyuuu
Huyu wa Hivi Akiwa Mfanyakazi Atatyombeshya Huko Kazini Mpaka Kwa Wafagiaji.Ukiwa na Mwanamke tu Tayari umetengeneza Tatizo ila Sasa kuna wa Afadhari na wale wa Potelea Mbali je Wewe uko Kundi Gani?
 
Wivu ndio shida
Kama Huna Wivu Kwa Nini Uamue Kufuga Binadamu Ndani?Hiyo Tv yako Una wivu Nayo Sembuse Mke ! Vijana wa Sasa Hamna mlijualo Mapenzi bila Wivu Ni sawa na Gari bila Matairi Na ukijiona huna Wivu Jua Ndoa sio Size Yako Nenda kajimalize kule kwa Buku 3.
 
Hapa umemuongelea Mwanamke Kama “kitu/kifaa” kisicho na utashi wala utambuzi.

Kwamba huyu kiumbe Mwanamke mwenye akili timamu na ukamilifu wa ufahamu hajui lipi anataka na lipi hataki?

Kwamba huyu Mwanamke aliyekula kiapo cha Ndoa kwa hiyari yake hatambui nafasi ya Mume wake kwake na nafasi ya Boss wake kwake?

Kwamba huyu Mwanamke hatambui mipaka ya mahusiano yake yaliyotofauti na Ndoa yake?

Umeoa Taahira??
Kuna Sehemu Una Shida Jaribu Kuitafuta.
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Mimi naunga mkono wanaume wanaowaachisha kaz za kuajiriwa wake zao na kuwafungulia biashara. Ndugu mwandishi utachagua ww km mume umuongoze au boss wake kazini ndio amuongoze.
 
Mwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.

Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.

Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.
Sahihi
 
Nadhani kama una biashara au miradi ni vyema ahusike katika kukuza ama kuendeleza, japo siyo vyote atapata kujua.....

Hii itamjengea uwezo wa kusimamia kitu chochote ikiwa umekosa nafasi, ni mgonjwa, umekufa, au haupo karibu na miradi yako!


Hata kama Kuna wafanyakazi anakuwa msimamizi...... Apate experience ya kazi

Nina shuhuda ya hii kabisa..... watu waliokuwa wanawashirikisha wake zao kwenye biashara au miradi na kuona matunda hata ingawa hawapo duniani.....

Kuajiriwa sio kipaumbele kwa mwanamke wangu......

Ni maoni
Naunga mkono hoja
 
Hapa umemuongelea Mwanamke Kama “kitu/kifaa” kisicho na utashi wala utambuzi.

Kwamba huyu kiumbe Mwanamke mwenye akili timamu na ukamilifu wa ufahamu hajui lipi anataka na lipi hataki?

Kwamba huyu Mwanamke aliyekula kiapo cha Ndoa kwa hiyari yake hatambui nafasi ya Mume wake kwake na nafasi ya Boss wake kwake?

Kwamba huyu Mwanamke hatambui mipaka ya mahusiano yake yaliyotofauti na Ndoa yake?

Umeoa Taahira??
Wewe kielewa hapa inahitajika juhudi ya ziada sana
 
Back
Top Bottom