Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Kujenga familia pamoja na nyumba yangu
Siwez msumbua mumewangu et kununua sufuria ama bakuli zikivunjika siwez msubir aje ndo nimpe mtoto dawa akiumwa nae binadamu anachangamoto pia atapitia lazima nimsapot
Na kizazi nitakiendeleza kuhus kundi utajua wewe uniweke wapi
Huu ni uongo MWANAMKE asili yake UBINAFSI(changu changu chako chetu) utakeusitake ila ni swala la muda tu utarudi kwenye ASILI!!
 
Sometimes watu wawe hata wanaangalia back to nature😀😀😀😀kupata WISDOM,na ni moja ya namna nzuri ya kujipatia majibu ya vitu unavyohisi huvielewi🤝

Mfano wanyama wote kwa jinsi zote wamegawana majukumu yaani, utakuta aina ya mnyama let say SIMBA hawa majukumu yapo wazi kabisa dume ULINZI na kusaidia KATIKA MAWINDO WA WANYAMA WAKUBWA,na msosi ukipatikana anakula dume kwanza😄😄😄 SIMBA JIKE naye anamajukumu yake kama kulea na uzaji na uwindaji ukienda kwa FISI nao wana SOCIAL HIRACHIE yao hivyohivyo nenda kwa mnyama anakaribiana wasemavyo wazungu na binadamu SOKWE nao hivyo hivyo.

Wazee wetu walifanikiwa sana kuchota MAARIFA KUTOKA KATIKA NATURE. Hizi elimu za kuletewa na kwenda VIDATO zisiondoe UWEZO WA KUFIKIRI ukaacha watu wawe wanapata shida kwenye mambo madogo kama haya.
 
Kwani biashara uliona ni kubeba matunda tu?
Hizo ni miongoni mwa kazi na zote pamoja na hizo nyingine hazifai, Muache mke wako akafanyishwe kazi sio wangu, we subiri mshahara uletewe ujisifu nimeoa mke mwenye akili anapambana. Mimi najielewa
 
Hizo ni miongoni mwa kazi na zote pamoja na hizo nyingine hazifai, Muache mke wako akafanyishwe kazi sio wangu, we subiri mshahara uletewe ujisifu nimeoa mke mwenye akili anapambana. Mimi najielewa
Kwahiyo kujielewa ni kuoa mke mama wa nyumbani ambae chumvi ikiisha anakupigia wewe simu?
 
Mwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.

Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.

Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.
Unampiga pini, ukimuacha huku nyuma bodaboda,wauza bucha,mangi na akina poti wanajigemulia ukiwa kazini...haya ya kuzuia wasifanye kazi ni mawazo ya kijima
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Kumzuia mke kufanya kazi, ni, ukatili wa, kijinsia wa, kishamba Sana, unakuta kuna njemba Ina mke, tena graduate, amekaa darasani miaka minne, dokta, wakili, au injinia, njemba inamkataza asifanye kazi, sasa Bora uwe na ukwasi kama wa bakheresa, hata ukitaka mkeo asiajiliwe kwingine, umuajiri wewe na umpe salary kubwa sawa, sasa wewe salary yako, chini yq milioni 24Kwa mwaka! Hutaki mke afanye kazi, sasa kwa nini alisoma, na unakuta unasomesha ns binti zako, why! Wakae nyumba ni tu, maaana kwako mwanamke, ni wa nyumba ni tu, elimu ya chuo ya nini!
Kuna wale waliojipanga, unaunakuta ana biashara zake kubwa, anaweza kuwa na hoja ya kutaka mkewe afanye nae kazi, lakini kumzuia mtu mzima mwenye akili na uwezo wake akae nyumbani tu! Kupika na kupakua! Mpaka siku anaingia kaburini! It's backward, primitive, barbaric, and, stupid
 
Kwanini?
Yani nisiwatunze kwann?
Nisiwapende kwanini?maybe wao wasiponipenda Sina huo moyo km naweza kuwapenda wasio ndugu zangu siwez shindwa kuwapenda wazazi wa mumewangu
Ukishaingia Ndani Vipaumbele Vinabadilika Yaani Ni Kama Draft Ukikaa Nje Unaliona Sana ila Ukiingia Unapigwa Tatu Mpaka King.
 
Kitu hutakiwi kuogopa ni nn kitatokea baada ya kufa sbb huwezi kusema tena na kubwa kuliko yote hautudi tena eti ukute mali zimeisha au kaolewa tunaomwamini Mungu tunaamini kila mtu kapangiwa maisha yake tuache kuwawazia sana watu wengine
 
Kumzuia mke kufanya kazi, ni, ukatili wa, kijinsia wa, kishamba Sana, unakuta kuna njemba Ina mke, tena graduate, amekaa darasani miaka minne, dokta, wakili, au injinia, njemba inamkataza asifanye kazi, sasa Bora uwe na ukwasi kama wa bakheresa, hata ukitaka mkeo asiajiliwe kwingine, umuajiri wewe na umpe salary kubwa sawa, sasa wewe salary yako, chini yq milioni 24Kwa mwaka! Hutaki mke afanye kazi, sasa kwa nini alisoma, na unakuta unasomesha ns binti zako, why! Wakae nyumba ni tu, maaana kwako mwanamke, ni wa nyumba ni tu, elimu ya chuo ya nini!
Kuna wale waliojipanga, unaunakuta ana biashara zake kubwa, anaweza kuwa na hoja ya kutaka mkewe afanye nae kazi, lakini kumzuia mtu mzima mwenye akili na uwezo wake akae nyumbani tu! Kupika na kupakua! Mpaka siku anaingia kaburini! It's backward, primitive, barbaric, and, stupid
Wengi wamejawa na wivu na ubinafsi
 
Ukishaingia Ndani Vipaumbele Vinabadilika Yaani Ni Kama Draft Ukikaa Nje Unaliona Sana ila Ukiingia Unapigwa Tatu Mpaka King.
Ni kuombeana kheri tusianze kutishana mkuu😄
 
Lengo ni kuzuia mke asiende kutongozwa huko na kutoa uroda kwa bosi au mfanyakazi mwenzake. Uoe mke mzuri anayevutia wanaume wengi unadhani utammiliki peke yako? Ukute mke ni mama huruma atagawa uroda kazini kwake mpaka maji uyaite ma!
 
Ungekua Na wewe Umekufa ningeamini Maneno Yako Ila upo Hai Endelea Kukitembeza Cha Kurithi Huwa Kinadhidi Ila Usisahau Kufanya Service.
Anza kufanyia service ki-pumpkin chako kwanza kinaonyesha kimechokaaaa dakika za jioniiiiiiiiiiii 🤣😹😹
 
Anza kufanyia service ki-pumpkin chako kwanza kinaonyesha kimechokaaaa dakika za jioniiiiiiiiiiii 🤣😹😹
👞👞👞👞👞👞👞👞👞👟👟👟👟👟👟Hiyo Ndo Thamani Yako Nilivyokupima.
 
Back
Top Bottom