Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #141
Kwahy wao kazi yao kula kulala na kulea watoto?Sijui ni Maendeleo gani unayoyataka.
Mimi nina mamlaka kamili kwa wake zangu wote.
Nalala nao nnapotaka bila mtu mwingine kuwapangia ratiba eti arudi nyumbani kwa kuruhusiwa na boss wake! Lol!
I'm the only boss to my wives and enjoy the life na sioni nakosa Maendeleo gani unayoyataka wewe