Kwa hiyo wanakula tope la wake za watuHatuwasingizii wao kwao wanashika nyet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wanakula tope la wake za watuHatuwasingizii wao kwao wanashika nyet
Ndio ujuiKwa hiyo wanakula tope la wake za watu
Mfanyakazi wa manispaaaInategemea na muoaji, km bakheresa sawa nitamsikiza ila km ana kipato cha kudunduliza akakojoe alale 😹
Kwahiyo aliacha posho na marupurupu ya ex boss na tu-trip twa kula bata 😹😹Kuna jamaa namjua kabisa na alioa mke msomi na mzuri na mfanyakazi serikalini.
Kwenye idara ya mke wake aliletwa mkuuu mpya, ambaye alikuwa Ex wa huyo mwanamke.
Jamaa alimpa optio kuacha kazi au kuacha ndoa...
Kitengo gani yupo?Mfanyakazi wa manispaaa
Wamekutuma uwasemee? Wake zetu unatupangia madharti ya vile unavyotaka wawe, nani anakupangia mipango ya mkeo?Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.
Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Mtendaji wa kataKitengo gani yupo?
Nimejaribu kutafakar tuWamekutuma uwasemee? Wake zetu unatupangia madharti ya vile unavyotaka wawe, nani anakupangia mipango ya mkeo?
Umeongea point sana hapo mwishoKama tungeona matunda mazuri ya kazi wanayofanya na heshima ikawa kwenye mstari wake baasi tungewaruhusu wakachakarike,
Lakini kitendo cha boss kuheshimiwa na kusikilizwa kuliko mme na bado tunda unapewa Kwa kupangiwa maana kachoka Kwa kupata mda mdogo kupumzika
Upande wangu acha tuendelee kuigawana hiihii nayoitafuta mwenyewe
Hawa viumbe wasahaulifu saana
Basi balaa hawa jamaa kijiweni kesho kuna maswali ya kuibuNdio ujui
Mke lazima aishi kwa matakwa ya mumewe,amtii na amheshimu,kama kaambiwa akae nyumbani anakula na kuvaa na mahitaji yote anapa wewe unatesekaje,Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.
Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Pata bia nakuja kulipaMwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.
Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.
Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.
Badilika mkuu una fikra za kale sanaMwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.
Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.
Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.
Unatakiwa kumvutia mumeo tu na si wengine,na sio utumwa bali ni kuwa na heshima na utiifu kwa mume wake ,viruka njia pekee ndio wanaoweza kuona ni utumwa,Wengi walioachishwa kazi wamekuwa watumwa kwa waume zao wamekuwa ovyo hawavutii kabisa na akili inadumaa kwasababu mda wote yupo nyumbana kazi yake kusafisha nyumba
Mda huo unawatunza na wazaziwake waliomsomesha Kwa tabu na shida nyingi?Mwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.
Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.
Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.
😄😄😄Ila jamniKwahiyo aliacha posho na marupurupu ya ex boss na tu-trip twa kula bata 😹😹
Bora ndoa ife kwanza siku hizi sio dili km zamani.!!