Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Huwa kuna machaguo mawili tu sasa sisi tunachagua kilicho bora
Umwache afanye kazi/biashara awe na uchumi wa juu kukuzidi kisha akuuqe kwa bp ukiwa na miaka 35 na watoto wasiteseke maana anawamudu ama umfanye mama wa nyumbani kisha we ufe ukiwa na miaka70 na watoto wako wenye umli wa miaka 35-45 wateseke kuishi bila baba. Hapo hata wewe unachagua nini?
Kufa ni kufa tu
 
Ya mama wa nyumbani. Mke kumpa uhuru wa kujitafutia ni kumpa ruhusa ya kuliwa tu na watu wa nje.
Hivi unawajua mababy wa ofisini walivyo? Ofisini wanatania baby baby za kutosha na vizawadi vya hapa na pale, ukija kustuka unaisikilizia kwenye spika huko milio.
Mh ukiwa na mtazamo uho utofanikiws
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Watulie nyumbani sio kwenda kuhangaika huko mwisho wa siku watamaniwe na wahuni
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Kazi ya mwanamke Haina impact kwenye ndoa yanini aranye kazi kati ya 100% ya wanawake, wanawake wenye kisaidia waume zao ni 10%. Kufikiaia miaka ya 80, baada ya hapa ni ngoma
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Jambo la mtu na mkewe mipango ya maisha yao wanavyotaka kuishi ni juu yao.

Ndoa ina faragha yake. Jambo baya ni mtu kulazimisha au kulazimishwa kitu tu.

Unaweza kujiona unawatetea sana wanawake waweze kufaya kazi, wakati wenyewe hawataki kufanya kazi nje ya nyumba wanataka kufanya kazi nyumbani.

Kifupi haya ni maamuzi ya faragha ya ndani ya ndoa, ambayo, watu wakishakubaliana tu, hayahitaji mjadala, hayahitaji justification. Ukitaka kuyaingilia ndiyo mwanzo wa kuvunja ndoa za watu.

Ni kama mtu akiamua kuwa dini fulani, katika muktadha wa imani, uamuzi huo ni uhuru wa kikatiba na kibinadamu. Ukianza hata kuuhoji uamuzi huo, kwenye muktadha wa imani, unakuwa umevunja faragha ya msingi wa mtu.

Tatizo watu wengi hawajui mipaka, hawajui faragha, hawajui kitu gani kinaweza kuhojiwa na kitu gani hakiwezi kuhojiwa.
 
Kuna wanawake wanapenda kuwa wamama wanyumbani wapo na nmewashuhudia, lkn kama mwanamke ulimkuta akifanya kazi na kwako ukaona si njema hutakiwi kumuachisha na kumuacha nyumbani bali watakiwa kumtafutia mbadala. Naamini katika wote kujishughulisha hata kama mwanaume unakipato, usimkalize mkeo nyumbani.

Hata kama pesa yake haikusaidii kwa sasa, itakusaidia baadae. Kuna vifo kuna magonjwa mke anafaa kuzoea kusimama bila kuwa tegemezi.
 
Kuna wanawake wanapenda kuwa wamama wanyumbani wapo na nmewashuhudia, lkn kama mwanamke ulimkuta akifanya kazi na kwako ukaona si njema hutakiwi kumuachisha na kumuacha nyumbani bali watakiwa kumtafutia mbadala. Naamini katika wote kujishughulisha hata kama mwanaume unakipato, usimkalize mkeo nyumbani.

Hata kama pesa yake haikusaidii kwa sasa, itakusaidia baadae. Kuna vifo kuna magonjwa mke anafaa kuzoea kusimama bila kuwa tegemezi.
Kabisa
 
Nadhani kama una biashara au miradi ni vyema ahusike katika kukuza ama kuendeleza, japo siyo vyote atapata kujua.....

Hii itamjengea uwezo wa kusimamia kitu chochote ikiwa umekosa nafasi, ni mgonjwa, umekufa, au haupo karibu na miradi yako!


Hata kama Kuna wafanyakazi anakuwa msimamizi...... Apate experience ya kazi

Nina shuhuda ya hii kabisa..... watu waliokuwa wanawashirikisha wake zao kwenye biashara au miradi na kuona matunda hata ingawa hawapo duniani.....

Kuajiriwa sio kipaumbele kwa mwanamke wangu......

Ni maoni
Tunaenda sawa mkuu.
 
Kama tungeona matunda mazuri ya kazi wanayofanya na heshima ikawa kwenye mstari wake baasi tungewaruhusu wakachakarike,

Lakini kitendo cha boss kuheshimiwa na kusikilizwa kuliko mme na bado tunda unapewa Kwa kupangiwa maana kachoka Kwa kupata mda mdogo kupumzika
Upande wangu acha tuendelee kuigawana hiihii nayoitafuta mwenyewe

Hawa viumbe wasahaulifu saana
 
Back
Top Bottom