Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Nafikiri hakuna formula hapa... Hao wanawake magolikipa mnaowaacha nyumbani.....Wanaliwa huko huko nyumbani mlipowaacha.... Pppptttyyyuuu
 
Nafikiri hakuna formula hapa... Hao wanawake magolikipa mnaowaacha nyumbani.....Wanaliwa huko huko nyumbani mlipowaacha.... Pppptttyyyuuu
Mwanamke achungiw akitaka kuliwa analiwa vizuri na akitaka ujue kama analiwa atakuonyesha tu
 
Mwanamke hawezi kuwa submissive kwa wanaume wawili au zaidi - wewe na boss wake.

Ni either awe submissive kwako (awe goalkeeper) au submissive kwa boss wake (aajiriwe). Uamuzi ni wako.

Kuhusu kuteseka ukifa haina uhusiano wowote kama utacheza nafasi yako vizuri kama mwanaume.
Hapa umemuongelea Mwanamke Kama “kitu/kifaa” kisicho na utashi wala utambuzi.

Kwamba huyu kiumbe Mwanamke mwenye akili timamu na ukamilifu wa ufahamu hajui lipi anataka na lipi hataki?

Kwamba huyu Mwanamke aliyekula kiapo cha Ndoa kwa hiyari yake hatambui nafasi ya Mume wake kwake na nafasi ya Boss wake kwake?

Kwamba huyu Mwanamke hatambui mipaka ya mahusiano yake yaliyotofauti na Ndoa yake?

Umeoa Taahira??
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.n
Yani wanaume tumeumbiwa matesoa yani fikiria hii mada tayari imeishamtanguliza mwanaume mautini mapema
 
Wengine wanaachishwa kazi lakini waume hawana uwezo kimsingi kabisa kutoa matunzo, mwisho unakuta mdada anapauka, anakosa nuru na kufubaa.

Kama huna uwezo kumtunza unamuachisha kazi ili iweje, basi kubalianeni asimamie miradi yenu, walau atapata ya mafuta, lotion na perfume anukie vizuri.
 
Hapa umemuongelea Mwanamke Kama “kitu/kifaa” kisicho na utashi wala utambuzi.

Kwamba huyu kiumbe Mwanamke mwenye akili timamu na ukamilifu wa ufahamu hajui lipi anataka na lipi hataki?

Kwamba huyu Mwanamke aliyekula kiapo cha Ndoa kwa hiyari yake hatambui nafasi ya Mume wake kwake na nafasi ya Boss wake kwake?

Kwamba huyu Mwanamke hatambui mipaka ya mahusiano yake yaliyotofauti na Ndoa yake?

Umeoa Taahira??
We oa mwajiriwa. Utatuletea mrejesho.
 
Wengine wanaachishwa kazi lakini waume hawana uwezo kimsingi kabisa kutoa matunzo, mwisho unakuta mdada anapauka, anakosa nuru na kufubaa.

Kama huna uwezo kumtunza unamuachisha kazi ili iweje, basi kubalianeni asimamie miradi yenu, walau atapata ya mafuta, lotion na perfume anukie vizuri.
Hao ndio nawaongela hapa mkuu
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Maofisini wanagegedwa sana mpaka wanarekodiwa.
Bora huku mtaani wakigegedwa wazee wa bodaboda hawawezi kuwarekodi
 
Kuna jamaa namjua kabisa na alioa mke msomi na mzuri na mfanyakazi serikalini.
Kwenye idara ya mke wake aliletwa mkuuu mpya, ambaye alikuwa Ex wa huyo mwanamke.
Jamaa alimpa optio kuacha kazi au kuacha ndoa...
Ebwana huyo jamaa yupo wapi?
Inabidi tumpe uchairman kwenye chama chetu wanaume.
A man has to stamp his authority. Its my way or the highway. Huyo ndio kidume sasa
 
Wengine ni wivu tu,akiwaza alichowafanya Baltazary, anawaza kua na mkewe itakua ni hivyohivyo, ingawa ni ukweli kua UNATAKIWA USIWE NA WIVU,mfano mkeo labda ni nesi au askari,kuchapiwa ni kawaida sana.
Spoke like a true gentleman. Hapana kuwa na wivu kuelekea mbususu. Wakati wowote inasssambuliwa tuu
 
Yaan mke wangu awe na boss wake sio? Yaan awe na mtu mwingine ambae anampa amri zaidi yangu? Kwangu hapana...
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
 
Back
Top Bottom