Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Wengi wanaowaza hivi ni zip mbovu, manipulative, weak na wapenda vinyonge. Jukumu la familia ni la wazazi wote kwa ustawi wa watoto. Sasa kusema eti mke ana majukumu mengi yanayoihusu familia hilo halipingiki ila sio kufikia eti aachishwe kazi. Watu wanaotaka mama wa nyumbani wanatakiwa waoe mama wa nyumbani na sio kuoa tofauti waanze kushinikiza au kushauri hao wake zao kuacha kazi.
 
Mnafact ipi inayo wafanya kuwazuia wake zenu kufanya kazi au kufanya biashara wengine mme waachisha wake zenu kazi mliwakuta wameajiriwa lakini baada ya kuwaoa mmewapiga pini wasijushugulishe na kazi.

Mnaongeza idadi ya magoli kipa kuwa wengi mwisho wa siku mkija kufa mashemeji na mawifi ndio wana pata shida kutunza familia mbili.
Mie fact yangu ni zile video za content creator, aliyetoa video zaidi ya 400 na zote zikawa viral za legend Baltazar Engonga.
Mke ni pambo la nyumba, mwanaume fanya kazi.
 
Kuna jamaa namjua kabisa na alioa mke msomi na mzuri na mfanyakazi serikalini.
Kwenye idara ya mke wake aliletwa mkuuu mpya, ambaye alikuwa Ex wa huyo mwanamke.
Jamaa alimpa optio kuacha kazi au kuacha ndoa...
Uho ni ujinga kuna mda inatakiwa kuacha wivu haya unakataa uko mke anakuja kuliwa na boda tena ni mdogo kwako na kwa mkeo si dharau?
 
Wengi wanaowaza hivi ni zip mbovu, manipulative, weak na wapenda vinyonge. Jukumu la familia ni la wazazi wote kwa ustawi wa watoto. Sasa kusema eti mke ana majukumu mengi yanayoihusu familia hilo halipingiki ila sio kufikia eti aachishwe kazi. Watu wanaotaka mama wa nyumbani wanatakiwa waoe mama wa nyumbani na sio kuoa tofauti waanze kushinikiza au kushauri hao wake zao kuacha kazi.
Wengi walioachishwa kazi wamekuwa watumwa kwa waume zao wamekuwa ovyo hawavutii kabisa na akili inadumaa kwasababu mda wote yupo nyumbana kazi yake kusafisha nyumba
 
Ubinafsi ndio shida kubwa. Yaani ndani ya Familia kuna kuwa na wanaume wawili. Mume anapanga, mke naye anapanga. Pesa yake, anataka atumie pekeyake. Yamumewe ni ya Familia nzima!.
 
Mie fact yangu ni zile video za content creator, aliyetoa video zaidi ya 400 na zote zikawa viral za legend Baltazar Engonga.
Mke ni pambo la nyumba, mwanaume fanya kazi.
Angalieni watu walio oa mama wa nyumbani na familia ambayo wote wanafanya kazi ipi ina welfare?
 
Ubinafsi ndio shida kubwa. Yaani ndani ya Familia kuna kuwa na wanaume wawili. Mume anapanga, mke naye anapanga. Pesa yake, anataka atumie pekeyake. Yamumewe ni ya Familia nzima!.
Hapana wapo wanawake mnakaa mnapanga maendeleo vizuri mfano now mnaweza kupanga mmoja anashughulikia sikukuu na pango la nyumba mwingine anasolve ada za watoto shule na maandalizi yote ya skuli
 
Huwa kuna machaguo mawili tu sasa sisi tunachagua kilicho bora
Umwache afanye kazi/biashara awe na uchumi wa juu kukuzidi kisha akuuqe kwa bp ukiwa na miaka 35 na watoto wasiteseke maana anawamudu ama umfanye mama wa nyumbani kisha we ufe ukiwa na miaka70 na watoto wako wenye umli wa miaka 35-45 wateseke kuishi bila baba. Hapo hata wewe unachagua nini?
 
Wengi wanaowaza hivi ni zip mbovu, manipulative, weak na wapenda vinyonge. Jukumu la familia ni la wazazi wote kwa ustawi wa watoto. Sasa kusema eti mke ana majukumu mengi yanayoihusu familia hilo halipingiki ila sio kufikia eti aachishwe kazi. Watu wanaotaka mama wa nyumbani wanatakiwa waoe mama wa nyumbani na sio kuoa tofauti waanze kushinikiza au kushauri hao wake zao kuacha kazi.
Ndio maana sikuhizi kuna kaupepo kamepita wasichana majobless wanaolewa kwa wingi.
 
Angalieni watu walio oa mama wa nyumbani na familia ambayo wote wanafanya kazi ipi ina welfare?
Ya mama wa nyumbani. Mke kumpa uhuru wa kujitafutia ni kumpa ruhusa ya kuliwa tu na watu wa nje.
Hivi unawajua mababy wa ofisini walivyo? Ofisini wanatania baby baby za kutosha na vizawadi vya hapa na pale, ukija kustuka unaisikilizia kwenye spika huko milio.
 
Back
Top Bottom