Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hata ukiorodhesha hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kumpigia kura jizi na tapeli kisa ni wa chama chake, hakuna huo ujinga sasa hivi, mitaani tunachaguwa watu hatuchagui vyama.Sioni tabu,.chama kuorodhesha wanachama wake