Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #21
Huna akili. Fuseeeki.Wewe ni daktari wa binadamu ? Au wa nini? Tuanzie hapo kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili. Fuseeeki.Wewe ni daktari wa binadamu ? Au wa nini? Tuanzie hapo kwanza
Inafanya kazi kwa wachache sana, wewe ni bahati yako mshukuru sana Mungu.Shida inakua ni nini hasa??
Mi mkristu, mme muislamu, watoto wangu swala 5 mwezi wa ramadhani nawapikia futari ya maana.
Sijawahi kuiona shida ya dini kati yetu....mambo mengine ni tofauti za kiubinadamu hazina udini.
Ndo maana bado sijakuelewa
Kusikia kwa kenge mpaka damu zitoke masikioni.Mimi nadhani upendo wa kweli hauna mipaka. Sio tu udini hata ukabila, rangi, elimu, kipato etc
Nyie wazee sijui huwa mnafikiria nini
Unaniuliza mimi?! 😹😹😹😹Kwani hujaolewa?
shikamoo uncleSijaandika thread ya joke, hili siyo jukwaa la jokes.
My first born anamalizia degree ya pili, my second born yuko high school wote wanaume, tunatowa ushauri serious humu, siku hizi hakuna jando na unyago.
Asiyelielewa hili atakuja kujifunza kwa njia ngumu sana.
Kwan certificate yako ya kupenda bado iko valid?Mi siwezi acha kumpenda mtu kisa dini, nitampenda yeye na hiyo dini yake......
Marhaba Anko.shikamoo uncle
Dokta ingekuwa vizuri ukajenga hoja sii tu kulazimisha kila mtu akubali mtazamo wako.Kusikia kwa kenge mpaka damu zitoke masikioni.
Mimi sijalazimisha chochote, nimeshare tu life experince.Dokta ingekuwa vizuri ukajenga hoja sii tu kulazimisha kila mtu akubali mtazamo wako.
Njoo na hoja zako ni athari gani mtu atapata anapoingia kwenye ndoa na mtu wa imani tofauti ikiwezekana na mifano hai.
In Maalim Seif voice.Sawa Sawa
Mie bado mpya just QTKwan certificate yako ya kupenda bado iko valid?
Kuna watu hata wakipenda upendo wao hauna maana kama vile wanaume masikini, wanawake single mothers au walioenda age sana, nk nk, coz hao wote certificates zao za kupenda zishakua invalid
Sasa ngoja nije inbox nipendwe na mmMie bado mpya just QT
Ntakupenda hadi uone keroSasa ngoja nije inbox nipendwe na mm
📌Dokta ingekuwa vizuri ukajenga hoja sii tu kulazimisha kila mtu akubali mtazamo wako.