Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.

Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.

Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.

Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.

Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.

Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.

Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.

Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.

Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.

Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.

Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.

Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.

Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.

Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
Nami nashauri watu wakitaka kuoana na ndoa iwe na manufaa kwao na kwa jamii basi yako mambo ya msingi ya kuzingatia likiwemo suala ya Dini/Imani.
Nashauri hivyo kwa sababu hili linagusa roho, moyo na nafsi na ndiko huku Upendo unapotokea. Sasa ukimpenda mtu wa dini tofauti na ukaishi naye basi hapo penzi lina nguvu kuliko imani sasa nguvu hiyo inaweza kuwa ya kudumu au ya muda hii itatokana na sababu mbali mbali moja wapo ikiwa ni uwekezaji finyu katika imani na misingi mibovu. Ni afadhali upendo uwe na nguvu ya kudumu kushinda imani hapo ndoa itakaa lakini madhara yake yatabaki palepale ila yatahamia kwa watoto na vizazi vijavyo.
Wanandoa wakiwa kwenye dini moja na kuifata dini hiyo kikamilifu kuna faida kubwa kuliko wanandoa wa dini tofauti.
 
Nimeishi Uingereza huna cha kunielimisha katika hilo.

Naelewa vizuri maana ya United kingdom na Great Britain.

Nazijuwa vizuri England, Wales, Scotland na Northen Ireland.

Hoja ilikuwa church of England ni Anglican na siyo Roman catholic.

Kuna vitu kama hujui omba kuelimishwa na siyo kuleta ujuwaji.

Anglican church linajulikana kwa jina la church of England, ni sawa ukisema Vatican mtu anajuwa unaongelea Roman Catholic.

You are a Fool.
Hauna hoja wala ushawishi , kifupi uelewa mdogo sana .

wapi nimekataa kwa sio church of England? Hiyo Phd ya kuhongwa nan alikupa? wakati uonaokena hata kujenga hoja huwezi .
NImkuambia kiongozi anaapa kulinda kanisa la Anglican lilopo ndani ya UK kupitia England, kuishi England wakati hauna exposure zero kabisa. 😛 😛

Phd za kupewa hata kuandika tatizo , ulienda kusomea ujinga?

kiufupi hujielewi endelea kumuogopa Mange KImambi na uchawa wako wa kitoto.
 
Hauna hoja wala ushawishi , kifupi uelewa mdogo sana .

wapi nimekataa kwa sio church of England? Hiyo Phd ya kuhongwa nan alikupa? wakati uonaokena hata kujenga hoja huwezi .
NImkuambia kiongozi anaapa kulinda kanisa la Anglican lilopo ndani ya UK kupitia England, kuishi England wakati hauna exposure zero kabisa. 😛 😛

Phd za kupewa hata kuandika tatizo , ulienda kusomea ujinga?

kiufupi hujielewi endelea kumuogopa Mange KImambi na uchawa wako wa kitoto.
Wewe ni mjinga, huna akili kichwani, kuitwa church of England haina maana siyo church of Scotland, wales na Northen Ireland.

You're listening too slowly
 
Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.

Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.

Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.

Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.

Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.

Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.

Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
niliko olea baba muislam mama mkristo na wanaishi vizuri watoto wamepewa uhuru wa kuchagua!!
inategemea ww unaichukulia vipi hizi dini
 
Wewe ni mjinga, huna akili kichwani, kuitwa church of England haina maana siyo church of Scotland, wales na Northen Ireland.

You're listening too slowly
Sasa hoja yako iko wapi? Huko ulipoenda wanatambua dini , wewe chawa wa Mange utawafanya nn? 😛 😛

Kama hautaki dini nenda kweny nchi zenye wapumbavu wenzio.!
 
niliko olea baba muislam mama mkristo na wanaishi vizuri watoto wamepewa uhuru wa kuchagua!!
inategemea ww unaichukulia vipi hizi dini
Mimi hizi dini zote nazichukulia kama utapeli tu.

Lakini kwa hizi primitive society tunazotoka na level of understanding swala la dini ni muhimu sana kwa watu wanaotaka kufunga mkataba wa kuishi pamoja na kujenga familia.
 
Sasa hoja yako iko wapi? Huko ulipoenda wanatambua dini , wewe chawa wa Mange utawafanya nn? 😛 😛

Kama hautaki dini nenda kweny nchi zenye wapumbavu wenzio.!
Ndio maana nikasema huna akili kichwani.

Ningekuwa sitambuwi dini na influence ya dini ningewashauri watu waowane wa imani moja au mmoja afuate imani ya mwenzake?

Umeamka na wenge?
 
Mimi hizi dini zote nazichukulia kama utapeli tu.

Lakini kwa hizi primitive society tunazotoka na level of understanding swala la dini ni muhimu sana kwa watu wanaotaka kufunga mkataba wa kuishi pamoja na kujenga familia.
ni ww sasa na baadhi ya familia kuna watu wako huria ww kuwa unachotaka
 
Ndio maana nikasema huna akili kichwani.

Ningekuwa sitambuwi dini na influence ya dini ningewashauri watu waowane wa imani moja au mmoja afuate imani ya mwenzake?

Umeamka na wenge?
Mara sijui serikali inaingiliana na mambo dini ,kiufupi hujielewi na Phd ya mchongo 😛 😛
 
Natoa mchango kupitia experience yangu binafsi (ndoa ya DC, watoto dini ya baba, Muslims)

Shida kubwa ya hii ndoa ni watu wanaowazunguka (binafsi baba mkwe wangu na robo tatu ya ndugu zake hawakushiriki chochote kilichofuata baada ya mahari, send off hakuja wala harusi hakuja, ingawa harusi ilikua ndogo tu wageni hawakufika 150)

Kilichosaidia mimi binafsi nilikubali watoto wafate kwa baba ila mimi nisiguswe kwa chochote, siwezi kuwa (Muslim, msabato wala mkatoliki)

Nilichojifunza, Muslims wana inferiority complex sana hata awe na shule, mwenzangu kabla ya ndoa nilikua naona kabisa yupo radhi tufanye sogea tukae kuliko kufunga kwa DC na sio kuachana,
Ila mimi niliweka msimamo either kwa DC au kila mtu apambane na hali yake.

Kwetu niliwekwa vikao sababu ukoo mzima hakuna ndoa ya DC, kuna ndoa za kikristo na chache za kiisilamu(less than 3) ambazo ndugu zangu wamebadili, nilikua tu muwazi sitoweza na kama hawapo tayari kuniaga kwa send off basi ntaolewa tu kwa DC bila sherehe muhimu mahari wamechukua

Kilichotubea sisi hatujakutana ukubwani sana, tumekutana umri ambao tushajitambua potential ya kila mmoja na tushaona namna gani tunaweza kubuild empire pamoja, so hasara za kuachana zilikua kubwa kuliko za kuendelea

Binafsi sijutii maamuzi yangu, mwenzangu siwezi kuusemea moyo, ila kama anajuta itakua ni roho ya kibinafsi sababu kiimani mimi ndo nimepoteza sana kuliko yeye

mtihani mkubwa ni kwamba, watoto wanavyozidi kukua wanakua attracted more to christianity sijui kwanini ila imetokea tu sababu huwa nawaona especially mkubwa kwasababu nikiwa nakula live sermons youtube anavutiwa sana na anapenda kuuliza maswali

KEY POINT YA MSINGI: SISI HATUKUWEKA WAZI KAMA KUNA UWEZEKANO WA KUTOFUNGA NDOA YA KIISILAMU KABLA YA MAHARI, MPAKA MILA ZINAFANYIKA KILA MTU ALIASSUME NTABADILI DINI (NA KUNA NDUGU ZANGU WALIUMIA SANA SABABU KIUKWELI KWETU MUSLIMS HAWAPENDWI ILA HAKUNA MCHUMBA WA HIYO DINI ALOWEKEWA NGUMU KUOA KAMA BINTI AMEKUBALI)

Kijana kama haujaingia kwenye huu mtego hakikisha wote mna akili timamu, mkubaliane watoto wanamfata nani otherwise VITA NI KUBWA ITAWASHINDA, MTAPOTEZEANA MUDA NA MBAYA ZAIDI WATOTO WATAHANGAIKA
Be blessed, nimependa sana natamani wanawake wote tuwe na usafi wa akili
 
Mbona ulianza vizuri na hoja nzuri nzuri, hii mitusi ndiyo nini sasa
Huyo hiyo ndio lugha anayoweza kuielewa vizuri.

Mtu yeyote atakavyokuja ndivyo atakavyojibiwa.

Nina heshima kwa mtu anayejiheshimu mwenyewe na nina shit kwa mtu anayejitowa akili.
 
Option ni moja tu, abadili imani yake afuate yangu. Ikishindikana hiyo na mahusiano yanakufa. Imani mbili tofauti zinajenga ndoa mbovu kabisa inayokosa misingi imara kwa malezi ya watoto.

Wanaosema dini sio kigezo warudi nyuma wafikirie upya.
Big up!!!
 
Back
Top Bottom