Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Ahhaha wewe ukienda kugombea kwa tiket ta CHADEMA unaonekana ziro kichwani
Wewe chukulia hapo ndiyo mwenye akili kuliko wotw chadema, ndiyo Lissu sasa nagimbea nawaambia nini Watanzania wanipe kura zao?

Nawaambia banadari imeuzwa, wakitazama DP World anashusha kontena kama hawana akili vizri, wakitazama nangani kule hakuna meli zimetia nanga.

Wakitazama bandarini, huku kwa abiria meli zinashusha magari ya kuwapeleka mbugani watalii yameshonana kama mia ytano hivi, maanake yale ya le mameli ya kutembeza watali yanapakia si mchezo.
 
1. Kwakweli modality ya siasa za chadema ni yakiuswaz uswazi Sana. wao Kama wao hawana sera, wanaenda na upepo, sahz msimu wa mavuno hutawasikia wanazungumzia bei ya unga na maharage,
2. ishu nyingne wanamatusi Sana wanadhiaki Sana viongozi waliopo, kwa ulimwengu huu watu hawataki matusi ndo maana mtu mwenye akili timamu haweza kujinasibu kuwa yy ni chadema, kwasabu chadema inaonekana ni chama Cha wahuni wahuni matapeli wa kisiasa
3. Chadema ni very corruptive wamechangisha hela kwa watu hatujui zimefanya nn, wameonyesha ofs ya 2bil ambayo haina hadhi ya 2bil.
4. Chadema hawana mamlaka ya kuhojiana wao kwa wao juu ya mali na ukomo wa madaraka kwao suprem leader haguswi.
5. Chadema hayo matusi hayata wapeleka popote Ila jueni tu 2024/2025 tutapiga kijani nchi nzima, mpaka muwewuke. kwa kumshukru Dr. SSH kwa kutufutia vrf ya HESLB na kutuongezea boom,
 
Hizo hoja zote wewe na dadako mmeshindwa kuzijibu, hazitafika 2025, majibu ya bandari zetu zote Tanganyika yatapatikana hivi karibuni, usitupoze na ujinga wa 2025.
Hapa tupo mwaka 2025 tunatafuta kura, tuwaingiewapiga kura na sera zipi? bandari inashusha mizigo vibaya sana.
 
Kwakweli modality ya siasa za chadema ni yakiuswaz uswazi Sana. wao Kama wao hawana sera, wanaenda na upepo, sahz msimu wa mavuno hutawasikia wanazungumzia bei ya unga na maharage,
2. ishu nyingne wanamatusi Sana wanadhiaki Sana viongozi waliopo, kwa ulimwengu huu watu hawataki matusi ndo maana mtu mwenye akili timamu haweza kujinasibu kuwa yy ni chadema, kwasabu chadema inaonekana Kama ni chama Cha wahuni wahuni.
Chama cha Wahuni kuliko Chama cha Wezi.
 
Kikubwa tumeshajua kila mmoja anapambana kulingana na alivyonunuliwa.


Kabla ya DP ni wakina nani walikuwa wafaidika wakuu wa BANDARI?


TUMESHAJUA HAPO NI serikali VS wafaidika +wanasiasa maslahi binafsi.
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyi mama msimchaguwe ana akili za "matope", wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Hakuna mpinzani mwenye akili mbovu kiasi hiki....tafuta joho size yako
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyi mama msimchaguwe ana akili za "matope", wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Huyu ushungi hana lolote
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyi mama msimchaguwe ana akili za "matope", wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Unawaza uchaguzi tu be mkubwa,shiling imeanguka unamaoni gani,watu masikini ndani ya nchi tajiri,huduma duni mahospitalini,hati chafu kila idara pesa zimepigwa , tafuta kazi ya kufanya mapema bi mkubwa.
 
Wewe chukulia hapo ndiyo mwenye akili kuliko wotw chadema, ndiyo Lissu sasa nagimbea nawaambia nini Watanzania wanipe kura zao?

Nawaambia banadari imeuzwa, wakitazama DP World anashusha kontena kama hawana akili vizri, wakitazama nangani kule hakuna meli zimetia nanga.

Wakitazama bandarini, huku kwa abiria meli zinashusha magari ya kuwapeleka mbugani watalii yameshonana kama mia ytano hivi, maanake yale ya le mameli ya kutembeza watali yanapakia si mchezo.
Aha sawa ila sifikili kama CHADEMA ina soko tena nje ya jf
 
Unawaza uchaguzi tu be mkubwa,shiling imeanguka unamaoni gani,watu masikini ndani ya nchi tajiri,huduma duni mahospitalini,hati chafu kila idala pesa zimepigwa , tafuta kazi ya kufanya mapema bi mkubwa.
Dah, bajeti inasema vinginevyo kabisa na unavyosema wewe.

Tena wahisani wa bajeti wala CCM hawawahitaji 2025, mipesa yote inakuja kutoka bandari na SGR.
 
Back
Top Bottom