Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

1476418792635.jpg
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Unaangalia unaona katibaa haijafanyiwa marekebisho
Wahujumu uchumi report ya CAG wanadunda
Tume ya uchaguzi bado sio huru
Kodii wafanyabiashara wanakatwa mara mbili
Unaangalia mahakama inashdwa kusimamia haki vizuri
Bado unakutana na vijana hawana ajiraa
Bado sera mbovu kwenye sekta ya kilimoo
Tumalizane na elimu inayotolewa haitoi nafasi za kujiajiri level za chuo kikuu
BIBI NCHI BADO INA MATATIZO
 
Kwa ufupi CCM hawatikiwi kuchaguliwa hata mbunge mmoja! (Labda Mpina )
Tuwe na watu mahiiri Bungeni tuachane na hawa akina mangungo
 
Chadema hawakosi sababu na hoja,watanzisha dowans,wakati chadomo wanamajumba dubei ,huku wajinga wakiwatukuza "we call it politics busines " principle one ni lazima ukosoe hats lililo la kweli, utetee wanyonge kinafiki maana hawa ndio mtaji mkuu na chakula ya wanachadomo!.
sasa ya DP World imebuma, mama katia pamba masikioni, hataki mtu apigwe hata kofi, wakitutaka polisi wanatutumia barua kisheria, kama Ulaya.

Sasa na sisis sera zetu bila kulianzzisha hatuna.

Yule mama kuanzia alipoingia sera zetu zote ndiyo zimekuwa zake.

Mpaka mikutano yetu ya kina mama anakuja. Aaaah, topeeee kila mahala topeeee.
 
Dah, bajeti inasema vinginevyo kabisa na unavyosema wewe.

Tena wahisani wa bajeti wala CCM hawawahitaji 2025, mipesa yote inakuja kutoka bandari na SGR.
Hii ndio bajeti ya kwanza zingine zote zilikua nini,hao wahisani nyie mnawasaidia bei gani kwenye bajet zao?

Hii mipesa ya bandari ilikuwa wapi kwani bandali imeamza kazi leo au likuwa imefungwa itafunguliwa wakija DPW?
 
Au tumuite Slaa atusaidie? Maana kule kwao karatu wanampenda sana Padri Slaa.
 
Hii ndio bajeti ya kwanza zingine zote zilikua nini,hao wahisani nyie mnawasaidia bei gani kwenye bajet zao?

Hii mipesa ya bandari ilikuwa wapi kwani bandali imeamza kazi leo au likuwa imefungwa itafunguliwa wakija DPW?
Swali la msingi na hoja yenye mashiko.
 
Hii ndio bajeti ya kwanza zingine zote zilikua nini,hao wahisani nyie mnawasaidia bei gani kwenye bajet zao?

Hii mipesa ya bandari ilikuwa wapi kwani bandali imeamza kazi leo au likuwa imefungwa itafunguliwa wakija DPW?
Sasa sisi chadema, usisahau, hapo mimi ni kiongozi wa chadema. Natafuta cha kuwaambia wananchi wanipe kura.

Huyu mama wa kizanzibari anakaba mpaka penati, hata virungu hataki kutupiga tupate pakufokea. Aaaah .
 
Hili limama la Kizanzinabari litafanya kila njia

Sawa mmenisikia, maana nikifikiria barabara, naona bajeti ya mwaka huu hakuna kijiji kimekosa japo barabara ya changarrawe, sasa mpaka 2025 ntawaambia nini wananchi wanipe kura zao?
Kuhusu barabara na shule mama apewe maua yake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Acha udini na ikabila tuko karne ya 21
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Mpaka umeandika hapa: kimeumana.
 
Chadema wapo kama hawatumii akili vile wapo wapo tu
Hamna shida siku wakibahatika kushika madaraka ndipo utajua kuwa je wana akili au la,lakini sasa hivi unalaumu usichokijua.Na nikuambie sehemu yoyote ambaye wamewahi kuwa na mbunge au diwani wa chadema wana maisha mazuri kuliko sehemu zile ambazo tangu uhuru ni ccm tu wametawala.
 
Back
Top Bottom