Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Chadema wapo kama hawatumii akili vile wapo wapo tu
Usitwambie hatuna akili, kwanza kesho tunaingia mitaani, Mbowe apewe PhD, kapewa mtu kama Msukuma hana lolote yu-ule"matope" matupu, kishahongwa Magari Dubai huko, wanamnyima mtu mwenye akili kuliko watu wote Tanzania, Mwenyekiti Mbowe?
 
Hakuna mtu ambaye amekamilika kwa asilimia Mia Moja ,mazuri yapo mengi na Mapungufu yapo Kama ilivyo kwa kila mwanadamu ,Tunampongeza kwa yale mazuri anayoyafanya tunayaona na tunapongeza juhudi zake lakini kwa yale ambayo tunayaona hayaendi vizuri tunamshauri ayafanyie marekebisho.
Hapo kwenye msisitizo, kwa haya yasioenda vizuri ni pamoja na hili la namna; mkataba wa DPW ulivyoingiwa. Je tenda ilitangazwa?
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Dah,
Elimu ni kitu muhimu sana. Nchi kuuzwa sio eti mipaka ipunguzwe. BBT ya Bashe inahusianaje na nchi kuuzwa? Nchi kuuzwa ni pale ambapo sekta muhimu za kiuchumi na kijamii zimeshikiliwa na wageni.

Bandari kuuzwa hupaswi kulisemea sasa. Sababu hapo ulipo hujui Serikali itapata nini na Mwekezaji atapata nini. Hiyo above 50% ya bajeti inayotokea bandarini wewe umeiona wapi? Na wasipoleta hiyo mtawafanya nini? Kwa makubaliano yapi?

Mnadanganyika sana na maneno ya wanasiasa, nafanya kazi masaki hiyo SGR inayonitoa Morogoro ikinishushia Posta nianze kupambana na mafoleni ya Dar mpaka nifike masaki ni kupoteza muda tu.

Maji, umeme tumeshindwa kupata vya uhakika over 60yrs ya uhuru ije kua hii miaka miwili tu iliyobaki? Yaani leo karne hii ni muda wa kumuahidi mpiga kura utampa maji kwa nchi kama hii ambako kila pande imezungukwa na water bodies kubwa tu Africa?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Sijaona kunako majaaliwa ya Mwenyezimungu hapo 2025!

We huoni jecha, Membe hatunao!!?

Una uhakika GANI kama hao wagombea unaodhani watakuwepo!!?

HIVYO tu!!
 
Dah,
Elimu ni kitu muhimu sana. Nchi kuuzwa sio eti mipaka ipunguzwe. BBT ya Bashe inahusianaje na nchi kuuzwa? Nchi kuuzwa ni pale ambapo sekta muhimu za kiuchumi na kijamii zimeshikiliwa na wageni.

Bandari kuuzwa hupaswi kulisemea sasa. Sababu hapo ulipo hujui Serikali itapata nini na Mwekezaji atapata nini. Hiyo above 50% ya bajeti inayotokea bandarini wewe umeiona wapi? Na wasipoleta hiyo mtawafanya nini? Kwa makubaliano yapi?

Mnadanganyika sana na maneno ya wanasiasa, nafanya kazi masaki hiyo SGR inayonitoa Morogoro ikinishushia Posta nianze kupambana na mafoleni ya Dar mpaka nifike masaki ni kupoteza muda tu.

Maji, umeme tumeshindwa kupata vya uhakika over 60yrs ya uhuru ije kua hii miaka miwili tu iliyobaki? Yaani leo karne hii ni muda wa kumuahidi mpiga kura utampa maji kwa nchi kama hii ambako kila pande imezungukwa na water bodies kubwa tu Africa?
Tuko 2025 tunatafuta kura za wanachi. Sera yetu tuliyoanza nayon2023 ilikuwa ya nchi kuuzwa.

Sasa tunaiona bado ipo, tuwaambie nini wananchi watupe kura zao?
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Sityupid
 
Wambie Muungano wa ovyo ovyo Sana mzanzibari anamikiki ardhi bara Ila mtanganyika harusiwi kumiliki ardhi Zanzibari.

Wambie wanawake wa kizanzibari wanabagua wanaume wa Tanganyika(yaani wapo tayari kumpa mbara kalio Ila sio mbere Kwa madai mbele pa mzanzibari sasa Muungano gani huu?)
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
hivi mmeshawahi kusafiri huku mikoani? Jana nilikua na waziri wa Maji hapa Makere-Kasulu - Kigoma, ukumbuke hapa Makere ndio kijijini kwa mke wa makamu wa Rais, hakuna hata mtu mmoja alikua anafuatilia ujinga wa waziri yule zaidi ya wana ccm walivalishwa sare kwa nguvu na kununuliwa chakula pamoja na innocent souls za wanafunzi
 
Sijaona kunako majaaliwa ya Mwenyezimungu hapo 2025!

We huoni jecha, Membe hatunao!!?

Una uhakika GANI kama hao wagombea unaodhani watakuwepo!!?

HIVYO tu!!
Kijana usiwe tope, hii sisi chadema akili kubwa, lazima tuifanye, inaitwa "political forecasting".

Lizanzibari lilikataa kutuma FFU. Plan ya kumtukana akasirike imebuma.
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Bado utakuwa hujafuta utumwa wa Mali za Tanganyika tu kuuzwa kwa miaka isiyojulikana huku za Zanzibar hazimo. Bado hujafuta rushwa kubwa waliyopewa Mawaziri na wabunge kiasi Cha kununua majumba Mikocheni, hiyo rushwa utaifutaje?
 
Hamna shida siku wakibahatika kushika madaraka ndipo utajua kuwa je wana akili au la,lakini sasa hivi unalaumu usichokijua.Na nikuambie sehemu yoyote ambaye wamewahi kuwa na mbunge au diwani wa chadema wana maisha mazuri kuliko sehemu zile ambazo tangu uhuru ni ccm tu wametawala.
Hiyo yakushika madaraka haipo na haiji kutokea kwahyo usijitie moyo, wagombea wenyewe hamna 😀
 
hivi mmeshawahi kusafiri huku mikoani? Jana nilikua na waziri wa Maji hapa Makere-Kasulu - Kigoma, ukumbuke hapa Makere ndio kijijini kwa mke wa makamu wa Rais, hakuna hata mtu mmoja alikua anafuatilia ujinga wa waziri yule zaidi ya wana ccm walivalishwa sare kwa nguvu na kununuliwa chakula pamoja na innocent souls za wanafunzi
Hii.m8 CCM tuliimaliza 2023.

Sasa tupo 2025 tunataka kura.

Isijekuwa siku hiyo walikua bize wanawahi mbolea za ruzuku?

Bashe alikuwepo?
 
Bado utakuwa hujafuta utumwa wa Mali za Tanganyika tu kuuzwa kwa miaka isiyojulikana huku za Zanzibar hazimo. Bado hujafuta rushwa kubwa waliyopewa Mawaziri na wabunge kiasi Cha kununua majumba Mikocheni, hiyo rushwa utaifutaje?
Sasa wewe mbona unaongelea mavi ya kale? hayanuki. Ilibuma hiyo, huoni bandari ilivyoajiri watu?
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Mama hadi leo umenena. Mungu akubariki.
 
Usitwambie hatuna akili, kwanza kesho tunaingia mitaani, Mbowe apewe PhD, kapewa mtu kama Msukuma hana lolote yu-ule"matope" matupu, kishahongwa Magari Dubai huko, wanamnyima mtu mwenye akili kuliko watu wote Tanzania, Mwenyekiti Mbowe?
Duh! Ndo maana mbowe hatoki madarani kwasabu mnamtukuza Kama ndo mwenye akili kuliko wote, hii imesababisa akina lisu wa frustrate wapo wapo tu as if wanafukuza kuku, kwasasa akili ya mdude na lisu zipo sawa hawana tofauti.
 
Huna akili
Aroo, mimi wakiri msomi.

Anna Tibaijuka ndio hana akiri,miserable yake yote alimpa Karamagi amunue mikreni sasa haifanyi kazi bandarini. Hii mialabu imereta mikleni ya kisasa inabeba kontena kumi kwa mala moja.
 
Tuko 2025 tunatafuta kura za wanachi. Sera yetu tuliyoanza nayon2023 ilikuwa ya nchi kuuzwa.

Sasa tunaiona bado ipo, tuwaambie nini wananchi watupe kura zao?
Ss Wananchi tunataka mtwambie mmepeleka wapi hela za join the chain? Mwenyekiti mbowe anaachia ngazi lini?
 
Back
Top Bottom