mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Mkuu mbona unajizima data hivyoAha sawa ila sifikili kama CHADEMA ina soko tena nje ya jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unajizima data hivyoAha sawa ila sifikili kama CHADEMA ina soko tena nje ya jf
Tena tunafanya maandamano mpaka chuo kikuu wampe mwenyekiti PhD.Duh! Ndo maana mbowe hatoki madarani kwasabu mnamtukuza Kama ndo mwenye akili kuliko wote, hii imesababisa akina lisu wa frustrate wapo wapo tu as if wanafukuza kuku, kwasasa akili ya mdude na lisu zipo sawa hawana tofauti.
Usimhusishe Mungu kwa Mambo ambayo hayapo, nyie hata Kura elfu tatu hampatiKwa mwanadamu mpumbavu kama wewe haiwezakani lakini kwa Mungu inawezakana ni muda tu.
nchi haiwezi ongozwa na mpuuzi kama lisuHuyo si Tundu Lissu ndiyo anasema hivyo apate kura? Au umesahau?
Au kauli hiyo atakuwa kishafungwa bakuli lake?
mm najua Mwenyekiti anataka hela tu apige basi , amefanya chama Kama Mali ya ukoo wake Kama alivyo rithishwa anataka naye aje arithishe mtu, mbona kofia ya PhD itagomaTena tunafanya maandamano mpaka chuo kikuu wampe mwenyekiti PhD.
ukiwaza kama nzi utakua sahihi kabisaHiyo yakushika madaraka haipo na haiji kutokea kwahyo usijitie moyo, wagombea wenyewe hamna 😀
Kwenye hili, kwa nini ujifikirie 'U-CHADEMA',na si 'U - MZEE BUTIKU' na 'U PRO. SHIVJI'?Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Mshike dola nyie hivi ww unavyoona mnaweza hata mkatoa speech ya saa moja bila matusi... chama kizima mpo Kama waleviukiwaza kama nzi utakua sahihi kabisa
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Mpumbavu anasema moyoni mwake hakuna MUNGU,Tangu mwanzo MUNGU aliwachungulia Wanadamu.Aone kama yuko Mtu mwenye akili amtafutaye Mungu,bali Wanadamu wamepotoka kwa sababu ya MADARAKA na PESA.Soma Zaburi utapata akili.Usimhusishe Mungu kwa Mambo ambayo hayapo, nyie hata Kura elfu tatu hampati
Around, mwenyekiti wetu anamihela ya pale disco, arikua anauza kira kitu, limagufuri rikamfungia naiti kirabu ire.mm najua Mwenyekiti anataka hela tu apige basi , amefanya chama Kama Mali ya ukoo wake Kama alivyo rithishwa anataka naye aje arithishe mtu, mbona kofia ya PhD itagoma
Ri shivji ongo rire lizànzabari lile.Kwenye hili, kwa nini ujifikirie 'U-CHADEMA',na si 'U - MZEE BUTIKU' na 'U PRO. SHIVJI'?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Chadema mpo Kama walevi, kwanza Ni aibu hata mtu kujiita chademaMpumbavu anasema moyoni mwake hakuna MUNGU,Tangu mwanzo MUNGU aliwachungulia Wanadamu.Aone kama yuko Mtu mwenye akili amtafutaye Mungu,bali Wanadamu wamepotoka kwa sababu ya MADARAKA na PESA.Soma Zaburi utapata akili.
Kama huna akili utaendelea kupuuzia.Chadema mpo Kama walevi, kwanza Ni aibu hata mtu kujiita chadema