Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Ahhaha wewe ukienda kugombea kwa tiket ta CHADEMA unaonekana ziro kichwani
Wewe chukulia hapo ndiyo mwenye akili kuliko wotw chadema, ndiyo Lissu sasa nagimbea nawaambia nini Watanzania wanipe kura zao?

Nawaambia banadari imeuzwa, wakitazama DP World anashusha kontena kama hawana akili vizri, wakitazama nangani kule hakuna meli zimetia nanga.

Wakitazama bandarini, huku kwa abiria meli zinashusha magari ya kuwapeleka mbugani watalii yameshonana kama mia ytano hivi, maanake yale ya le mameli ya kutembeza watali yanapakia si mchezo.
 
1. Kwakweli modality ya siasa za chadema ni yakiuswaz uswazi Sana. wao Kama wao hawana sera, wanaenda na upepo, sahz msimu wa mavuno hutawasikia wanazungumzia bei ya unga na maharage,
2. ishu nyingne wanamatusi Sana wanadhiaki Sana viongozi waliopo, kwa ulimwengu huu watu hawataki matusi ndo maana mtu mwenye akili timamu haweza kujinasibu kuwa yy ni chadema, kwasabu chadema inaonekana ni chama Cha wahuni wahuni matapeli wa kisiasa
3. Chadema ni very corruptive wamechangisha hela kwa watu hatujui zimefanya nn, wameonyesha ofs ya 2bil ambayo haina hadhi ya 2bil.
4. Chadema hawana mamlaka ya kuhojiana wao kwa wao juu ya mali na ukomo wa madaraka kwao suprem leader haguswi.
5. Chadema hayo matusi hayata wapeleka popote Ila jueni tu 2024/2025 tutapiga kijani nchi nzima, mpaka muwewuke. kwa kumshukru Dr. SSH kwa kutufutia vrf ya HESLB na kutuongezea boom,
 
Hizo hoja zote wewe na dadako mmeshindwa kuzijibu, hazitafika 2025, majibu ya bandari zetu zote Tanganyika yatapatikana hivi karibuni, usitupoze na ujinga wa 2025.
Hapa tupo mwaka 2025 tunatafuta kura, tuwaingiewapiga kura na sera zipi? bandari inashusha mizigo vibaya sana.
 
Chama cha Wahuni kuliko Chama cha Wezi.
 
Kikubwa tumeshajua kila mmoja anapambana kulingana na alivyonunuliwa.


Kabla ya DP ni wakina nani walikuwa wafaidika wakuu wa BANDARI?


TUMESHAJUA HAPO NI serikali VS wafaidika +wanasiasa maslahi binafsi.
 
Hakuna mpinzani mwenye akili mbovu kiasi hiki....tafuta joho size yako
 
Huyu ushungi hana lolote
 
Unawaza uchaguzi tu be mkubwa,shiling imeanguka unamaoni gani,watu masikini ndani ya nchi tajiri,huduma duni mahospitalini,hati chafu kila idara pesa zimepigwa , tafuta kazi ya kufanya mapema bi mkubwa.
 
Aha sawa ila sifikili kama CHADEMA ina soko tena nje ya jf
 
Unawaza uchaguzi tu be mkubwa,shiling imeanguka unamaoni gani,watu masikini ndani ya nchi tajiri,huduma duni mahospitalini,hati chafu kila idala pesa zimepigwa , tafuta kazi ya kufanya mapema bi mkubwa.
Dah, bajeti inasema vinginevyo kabisa na unavyosema wewe.

Tena wahisani wa bajeti wala CCM hawawahitaji 2025, mipesa yote inakuja kutoka bandari na SGR.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa chadema maama wote kuanzia juu mpaka mdude ni matusi tupu
Ila wanaoumiza Watanzania kwa makusdudi ili watawale milele na familia zao wanastahili kuabudiwa siyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…