Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Hii app siipati naomba link
 
UPDATES:
Jinsi wakuu mnavyozidi kujazana kwenye Tho DroidVPN, mnaifanya kupungua intensity, inakuwa busy sana, just assume hata kufungua uzi inatumia dk 1. Pungueni basi mkatafute hela, vya bure vinaua! kha!
[emoji34][emoji34]
 
umeupiga mwingiiiii
 
Wakuu kwa anaejua hiz VPN za wire tune , http vpn na nyinginezo aje hapa atuamvie sie tujiunge tule asali maana asali tamuuuuuuuu
 
Mwamba njoo ofisini huku tuyajengeπŸ˜‚ hawa wahuni wamezidi lazma na sisi tulambe asali kidogo. Njoo unipe tips mzee mwenzangu
Kwani na nyie Watu wa Usalama ( SSIT ) Siku hizi hampewi tena Hela ya Kununua Mabando ya Internet ili muwe mnakesha Mitandaoni Kukusanya Tasrifa Nyeti ili mkazifanyie Kazi?
 
Hivi inatumia njia gani ku surpass /bypass hizo MB 200 per day na kuwa unlimited? Maana inaniandikia. Download limit reached then inagona kufung

Hivi inatumia njia gani ku surpass /bypass hizo MB 200 per day na kuwa unlimited? Maana inaniandikia. Download limit reached then inagona kufungua port
Nenda kwenye site ya droidVPN login kwenye account yako utaona bonus ya MB100,kama na bonus imeisha tengeneza account nyingine kwa kutumia email nyingine (kama hauna unaweza tengeneza mpya).

Nenda kwenye app details za hiyo VPN(unaweza access kwa kuhold app icon) clear catche na storage kisha fanya setting za UDP kama ilivyoelezwa kwenye uzi huu na ukimaliza login kwa account yako mpya,Hapo utapata MB200+100/day.

NB: Mambo ya internet za VPN naona kama utopolo bora ununue kifurushi tu kuliko kupoteza mda,kila dakika mara inajidisconnect,mara sever full yaani inafaa kama una mda wa kupoteza.
 
NI KULAMBA ASALI KWA. KITUMIA. MIRIJA EBOOOOOOO. VPN 2 ZIPO ACTIVE MOJA IKIJI DISCO NYINGINE INAUNGA FULL NET TUUUUUUUUUUUUUUUU. OYAAAA VPN GANI NYINGINR. WAKUU NIZISABABISHE MAANA NOW SITAKI KUNUNUA VOCHA KABISA
 
Wabongo wamejazana ni nyomi la kufa mtu huko hata pa kutemea mate hakuna, Server zote zina kamuliwa kinyama so imeshakuwa utopolo πŸ’©πŸ’©πŸ’©πŸ¦΄πŸ¦΄πŸ¦΄ vpn yenyewe lazima ikate moto!!!!!!
Hachana nayo tafuta chimbo lingine au vizia mida ya usiku mnene watu wakiwa wamelala πŸ’«πŸ’«
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…