Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia

Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Nigeria watu wengi wanatumia free internet
 
Naona Vinyembe vya Rungu max na Sumaku vinafanya mambo................
tupe namna nasi tukimbize
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
Kausha mwana tule kimya kimya
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
Oyaaa kausha Watu tule Maisha
 
Ngoja nichomoe betri nikachome kwa wakubwa makao makuu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
Mkuu unatumia app ipi na line ipi?,sharing is caring kiongozi
 
Wadau naombeni setting za Wire turn mbona kwangu inazingua... Nipeni uzoefu namna mnavyotumia na kufanya kazi
 

Attachments

  • Screenshot_20220806-162408.png
    Screenshot_20220806-162408.png
    12.2 KB · Views: 76
Wadau naombeni setting za Wire turn mbona kwangu inazingua... Nipeni uzoefu namna mnavyotumia na kufanya kazi
Mimi hii mwanzo ilikua inapiga mzigo vzuri sasa nilivo update tu ndo ikaanza kuzingua ikabidi niifute nirudishe ile old version saivi iko poa japo inanipa notification ya ku update ila si update
 
Sio suluhisho vocha utannua tu, jinsi zinavyozingua sometime unaweza Pata hasira ukaifuta siku ukifulia unaikumbuka.
Huu ni ukweli mtupu, nimewahi kuifuta wire tune na kuipakua tena mara kwa mara
 
View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Chief , mbona hapo Kwenye co part ya TCOUNT Range inaanzia 0mpaka 255 na hiyo 2222 haipo ?!
 
Back
Top Bottom