Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Umekuja kutangaza hapa sasa subiri majasusi wao uchwara waone huu uzi alafu hicho kivpn kipigwe block ya milele ndani ya sekunde chache.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu.View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Sharing is caring !!!!Umekuja kutangaza hapa sasa subiri majasusi wao uchwara waone huu uzi alafu hicho kivpn kipigwe block ya milele ndani ya sekunde chache.
Tatizo Mkipewa Tip hamjiongezi Mnataka mtafuniwe kila kitu , hadi mitandao mnataka mtajiwe wakati kina Kanugila Karim wapo humu humu wanatuchora
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani mkuu[emoji23][emoji23]
Nikajua ime connect, nikazama YouTube kucheki movie! Dakika kama 15 nimeletewa sms kutoka TTCL ya kubakiza MB 15 kutoka GB 1
Mwanzisha uzi utakufa kifo cha mende [emoji23]
Halafu airtel wafukuze watumishi wao?Wakuu ni vyema mkamwaga huo mchele TUDONOE WOTE
Hapa kwenye kuchagua server za Thor hacker ndio nimebaki njia panda,msaada tafadhali Bwana Mkubwa SPYMATEVPN ina kazi mbili
1.Kuficha masaburi
2.Free net Trick
Hivyo unapoweka line yenye voucher au bundle VPN itakusaidia kuficha masaburi tu ila bundle linalika kama kawaida.
Kama lengo ni Free net hapo line yako isliwe na hela wala bundle ndio itapiga kazi ingawa baadhi ya trick huwa inahitaji kuboost kwa kuweka 50 au 100 tu.
Hii trick aliyoweka Shaffin Simbamwene inapiga mzigo kwa TTCL na TIGO tu
Hata mimi imenisumbua nimeamua kuiacha tu.Hii wiretun uchawi wake ni nini? Mbona inasumbua sana?
unatumia vpn ipi mkuu ya kulipia au ni zile za kuunganisha na laini only mfano ukiwa na TTCL uka-download app ya wire tun unakula maisha kimya kimya..Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
mashalah huwezi amini nabaki tu kumezea mate hizo infomation zako.Ishini na watu vizuri mpate chimbo la kulamba asali 😂😂😂View attachment 2315524
MKUU ENEDELEA KUNUNUA VOCHA MAKASIRIKO YA NINI SASAKwani mmeshindwa kabisa kutengeneza wi-fi server ya sumaku na nyembe? Hadi muanze kudanganyana namna hii? Mi ndo ninayotumia, sema speed yake ni 2G ispokuwa kuanzia saa saba usiku to saa 11 alfajiri, inakuwa 3G
vp umejaribu kwa kutumia laini ya ttcl maana kwangu inakubali ku-safu kwenye social media youtube,twitter & JFHata mimi imenisumbua nimeamua kuiacha tu.
Sina Ttcl kina mwana nilimpa maujanja nae ananiambia analeta kwa Ttcl kama kaweka bando sasa nitafanya mpango nisajili kama nilivyosajili Tigo kea ajili ya SkyVpn na Ec Tunnel pro zilikua hazikwami mdau wowote kama umeweka Mb vilevp umejaribu kwa kutumia laini ya ttcl maana kwangu inakubali ku-safu kwenye social media youtube,twitter & JF
PM mkuu! Mwaga mchele mkuu! Tuungane sote kuwakomoa [emoji28][emoji28]Tatizo Mkipewa Tip hamjiongezi Mnataka mtafuniwe kila kitu , hadi mitandao mnataka mtajiwe wakati kina Kanugila Karim wapo humu humu wanatuchora
Mkuu hulitendei haki jukwaa[emoji24]Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Mtandao gani inakubali na nipeni maujanja jinsi ya kuset
Naona Vinyembe vya Rungu max na Sumaku vinafanya mambo................