Nigeria watu wengi wanatumia free internetNimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!Naona Vinyembe vya Rungu max na Sumaku vinafanya mambo................
tupe namna nasi tukimbize
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kausha mwana tule kimya kimya[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
Oyaaa kausha Watu tule Maisha[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
Oyaàa!! hvi na kudownload inapiga?Oyaaa kausha Watu tule Maisha
Nimeshindwa kuregister inasema inatoa mb 200 tu per day sijui 100.
kumbe ushubwada tuNimeshindwa kuregister inasema inatoa mb 200 tu per day sijui 100.
Mkuu unatumia app ipi na line ipi?,sharing is caring kiongozi[emoji16][emoji16][emoji16]Aise!
Nikaona nitoke kwanza jf nielekee YouTube kustream ma videos! Sasa hivi ndo narudi[emoji23] Sema ile ya sumaku ni 2G ila hii ni 5G+ kabisaaaa, hata ile ya Wire Turn inaenda enda! Dah! Sasa tulikuwa wapi! Hata wakifanya 50MB kwa 20,000 Tsh ni sawa tu, tena ngoja niwacall @tigotz ,au basi acha tu [emoji23][emoji23]
Inafanya vyote freshOyaàa!! hvi na kudownload inapiga?
Mimi hii mwanzo ilikua inapiga mzigo vzuri sasa nilivo update tu ndo ikaanza kuzingua ikabidi niifute nirudishe ile old version saivi iko poa japo inanipa notification ya ku update ila si updateWadau naombeni setting za Wire turn mbona kwangu inazingua... Nipeni uzoefu namna mnavyotumia na kufanya kazi
Huu ni ukweli mtupu, nimewahi kuifuta wire tune na kuipakua tena mara kwa maraSio suluhisho vocha utannua tu, jinsi zinavyozingua sometime unaweza Pata hasira ukaifuta siku ukifulia unaikumbuka.
300mb per day zikiisha kuna namna ya kurevive ila simu iwe rooted binafsi kwa siku napiga zaidi ya 6GBNimeshindwa kuregister inasema inatoa mb 200 tu per day sijui 100.
Duu una balaa300mb per day zikiisha kuna namna ya kurevive ila simu iwe rooted binafsi kwa siku napiga zaidi ya 6GB
Chief , mbona hapo Kwenye co part ya TCOUNT Range inaanzia 0mpaka 255 na hiyo 2222 haipo ?!View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Hachana na na mambo ya Range/limit number we piga hilo Lumbesa 2222 ndio kubypass kwenyewe huko vinginevyo haitapiga MzigoChief , mbona hapo Kwenye co part ya TCOUNT Range inaanzia 0mpaka 255 na hiyo 2222 haipo ?!