Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Dah inasikitisha Sana pole mkuu
 
Me nlikua na jamaa mmja basi siku kaja nyumbani kwangu tukala akasepa.....badae akanitumia sms ety me siwezani na mm kwanza hatuendani we mwenzangu umepanga nyumba kubwa siwez hata kukulipia pesa ya kodi miez minne......eeh nkasema lahaula lakwata

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ooooh poleeeeh sana.
 
K ulimpa?
 
🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…