Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nisogezee namba yake chiefNilimuacha coz anapenda kwa mpalange,kila mara anajifanya anakosea...Ukishtuka Imooooo
Dah inasikitisha Sana pole mkuuBaada ya kwenda UDSM mchumba wangu akawa popo mbaya zaidi sikupata hata nafasi ya kumvua Pete yangu ya uchumba gold ring ya 350000 enzi hizo miaka ya 2006,hadi bado nampenda sana sema alishakuwa mtu maarufu na ameolewa na mtu maarufu,wazazi wananiambiaga hakuwa riziki yangu na pengine hasingekuwa mke mwema
Pole Sana mkuuAlisema mie sina mvuto kwahyoo sina sura ya kupistiwa mitandao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apumzike nini wakati ukishaoga ndo unapumzika, hao ndo utotoni kuoga ilikuwa mpaka wapike wali.
Me nlikua na jamaa mmja basi siku kaja nyumbani kwangu tukala akasepa.....badae akanitumia sms ety me siwezani na mm kwanza hatuendani we mwenzangu umepanga nyumba kubwa siwez hata kukulipia pesa ya kodi miez minne......eeh nkasema lahaula lakwataMambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.
Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.
Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
Nimecheka kwa herufi kubwaWangu wakwnza alifariki wapili tulikuwa rundo niliwagundua w 5 nikamwambi yatosha mbaya zaidi wengine kabla yangu na wengine baada yangu WAFIPA nawaheshimu
Ooooh poleeeeh sana.Kupotezewa
Bwana wa zamani alikua anapenda kuimba imba. Nikituma sms kumsalimia atajivuta sana kujibu, nikimuambia nmem-miss atafoka namtoa kwene mood ya kuimba [emoji23] na ni muda wote alikua hivyo. Nikienda kwake wakat naondoka hata kunisindikiza hakua anataka nikaelewa tu hapa sitakiwi nikajitoa kimya kimya. Akaja kuhoji vipi umepata bwana mwingine ?? nikashangaa kwa anayoyafanya anategemea niendelee nae ili iweje. Mwaka jana niliskia amefariki [emoji17]
R.I.P Inno
Thanx diaOoooh poleeeeh sana.
😉😉😉Aisee. Ila watu.
I greet you.
K ulimpa?Me nlikua na jamaa mmja basi siku kaja nyumbani kwangu tukala akasepa.....badae akanitumia sms ety me siwezani na mm kwanza hatuendani we mwenzangu umepanga nyumba kubwa siwez hata kukulipia pesa ya kodi miez minne......eeh nkasema lahaula lakwata
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hapana tulikua bado hatujafikia kweny mambo ya k....ndo tulikua tuna mwezi tuK ulimpa?
Sasa hivi una mtu au jimbo bado liko open?Hapana tulikua bado hatujafikia kweny mambo ya k....ndo tulikua tuna mwezi tu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Unataka kula kimasihara[emoji23][emoji23]Sasa hivi una mtu au jimbo bado liko open?
Nataka kuvuta jiko mazima mkuuUnataka kula kimasihara[emoji23][emoji23]
Ok,nilijua ulimuonjesha k.Hapana tulikua bado hatujafikia kweny mambo ya k....ndo tulikua tuna mwezi tu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.