Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Saizi nipo joto city arif. Of course nilipataga wenge flani baada ya hiyo makitu kutokea maana walinikata stimu na nlikua namsarandia huyo manzi mbayaaaa yani kikuzi.

Ila basi maumivu yalikuja kata ado ado niamuona soro tu na yule chalii nae nikamuona ni waki nikatupa kule
Chaliifranci niaje man unasomeka hapa face ya dwace kumbe.
 
Kwa sababu umekuzwa from mtoto toka huko, hivyo ilikuwa si rahisi wewe kufanywa msukule kwani ulikuwa hauna kitu na utoto wako.
wajomba zangu ni wachaga na Sijawahi kuhisi hata mambo hayo ya kiswahili huko uchagani..zaidi ni watu wanaopenda dini
 
Alibakwa nikamsamehe
Akabakwa tena nikavunga
Akabakwa tena nikumsamehe nikaamua na mm nimbake....Nilipombaka yeye hakunisamehe....aliomba kad nyekundu
huenda ulimbaka kwa nguvu mkuu
 
Nilimtafutia tempo sehemu halafu yule bosi wake akamchapa..nikamuuliza akasema si kweli nikaona poa ila badae nikapata evidence ya sms kwenye simu yake...akawa hana pa kutokea nia yangu ilikua nimsamehe yaishe ila nilipomuuliza ninikilimfanya anifanyie hvyo jibu alilonipa likanifanya nimteme on the spot
Alinijibu kuwa jamaa alikua anampatia pesa nyingi so akichanganya na ninazo mpa mm zinakidhi mahitaji yake..[emoji51][emoji51]alikula kikono cha shilawadu mpk leo
duh...pole sana sheikh
 
Penzi ,nilimnyima penzi ,kila alipojaribu kunilala nilimwambia silali nawewe bila ndoa ,aliniacha nkalalwa Siku ya matokeo na mimba na ndoa ikafuatia,
ulikua bikra?
 
Aisee nadhani hii SOFTWARE ya kuacha na kuachwa sikuekewa.
Madem zangu wote tunawasiliana na kupeana kawaida tuu!

Nikija kwenye swala la ndoa ndo naanzaga kutafuta scholarship
 
Kuomba hela
Kupenda kuchezea simu yangu
Hapendi niende kulisakata Twanga
Mchawi
Mfupi halafu keusi sana
K ilikuwa ina emmit radiation za hatari
Alikuwa polisi pale sentro so ananitisha tisha kuniweka ndani
radiation gani zilikua zinatoka mkuu?
 
Back
Top Bottom