Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaliifranci niaje man unasomeka hapa face ya dwace kumbe.Saizi nipo joto city arif. Of course nilipataga wenge flani baada ya hiyo makitu kutokea maana walinikata stimu na nlikua namsarandia huyo manzi mbayaaaa yani kikuzi.
Ila basi maumivu yalikuja kata ado ado niamuona soro tu na yule chalii nae nikamuona ni waki nikatupa kule
wajomba zangu ni wachaga na Sijawahi kuhisi hata mambo hayo ya kiswahili huko uchagani..zaidi ni watu wanaopenda diniKwa sababu umekuzwa from mtoto toka huko, hivyo ilikuwa si rahisi wewe kufanywa msukule kwani ulikuwa hauna kitu na utoto wako.
duh...pole sana sheikhNilimtafutia tempo sehemu halafu yule bosi wake akamchapa..nikamuuliza akasema si kweli nikaona poa ila badae nikapata evidence ya sms kwenye simu yake...akawa hana pa kutokea nia yangu ilikua nimsamehe yaishe ila nilipomuuliza ninikilimfanya anifanyie hvyo jibu alilonipa likanifanya nimteme on the spot
Alinijibu kuwa jamaa alikua anampatia pesa nyingi so akichanganya na ninazo mpa mm zinakidhi mahitaji yake..[emoji51][emoji51]alikula kikono cha shilawadu mpk leo
Hongera kwa umri uo ulisha kuwa na wanaume 6 tu...make apo kila mmoja na sifa zake...1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Hahaha hyo itakuwa upareni mkuu,toka nzaliwe sjawahi kula ndizi zisizo na nyama huko moshi kwetumoshi zinapikwa mpaka ndizi za choroko mkuu
radiation gani zilikua zinatoka mkuu?Kuomba hela
Kupenda kuchezea simu yangu
Hapendi niende kulisakata Twanga
Mchawi
Mfupi halafu keusi sana
K ilikuwa ina emmit radiation za hatari
Alikuwa polisi pale sentro so ananitisha tisha kuniweka ndani
Haha mkuu himo hapo sio kijijini bwana. ndo maana mnaleta uhuni wa kupika ndizi bila nyamazmkuu kama Himo ni upareni sawa.