Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.

Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.

Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.

Daah sijui kwanini yule engineer wa Kipare aliamua kuniacha yaani kuna wakati nikipitia magumu kwenye mahusiano mapya namkumbuka nasema haya yote yamesababishwa na yeye angekuwapo wala nisingeteseka hivi ..ingawaje nilikuwa simtegemei kifainancial..lakini upendo wake ukarimu na ucheshi na phone calling zile hakika nazimiss....daah Mungu ndie anayejua yaan ..nikikumbuka alivyokuwa akinibembeleza aii jaman...hakika nilipokwa tonge mdomoni...basi ndo hivo maji yakishamwagika hayazoleki...nilikupenda ila shetani akatuharibia.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Daah sijui kwanini yule engineer wa Kipare aliamua kuniacha yaani kuna wakati nikipitia magumu kwenye mahusiano mapya namkumbuka nasema haya yote yamesababishwa na yeye angekuwapo wala nisingeteseka hivi ..ingawaje nilikuwa simtegemei kifainancial..lakini upendo wake ukarimu na ucheshi na phone calling zile hakika nazimiss....daah Mungu ndie anayejua yaan ..nikikumbuka alivyokuwa akinibembeleza aii jaman...hakika nilipokwa tonge mdomoni...basi ndo hivo maji yakishamwagika hayazoleki...nilikupenda ila shetani akatuharibia.....
asa si mrudiane mkuu?
 
Alikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Mwambie aende kwa bwana shangingi
 
Hmmm! Pole sana kwa shetani kuwaharibia penzi lililokuwa tamu sana.



Daah sijui kwanini yule engineer wa Kipare aliamua kuniacha yaani kuna wakati nikipitia magumu kwenye mahusiano mapya namkumbuka nasema haya yote yamesababishwa na yeye angekuwapo wala nisingeteseka hivi ..ingawaje nilikuwa simtegemei kifainancial..lakini upendo wake ukarimu na ucheshi na phone calling zile hakika nazimiss....daah Mungu ndie anayejua yaan ..nikikumbuka alivyokuwa akinibembeleza aii jaman...hakika nilipokwa tonge mdomoni...basi ndo hivo maji yakishamwagika hayazoleki...nilikupenda ila shetani akatuharibia.....
 
Niliona kama amebadilika hivi kwahiyo nikaacha kumpigia simu. Nilikata mawasiliano kabisa, ilipofika wiki ya tatu, nikashtuka alaa kumbe siko mwenyewe, siku ya siku nikanyayua simu kumwambia baba basi, akapokea kademu kake, akaniambia niache kumsumbua bwanake! he! nikamwambia kila la heri mama, hapo tuko pamoja mwaka mzima. baadae ya mwezi ananitafuta kuomba msamaha...mxxiiuu...nilishamove on kulikuwa na simba ana randa randa nilivomuhadithia stori akanichekaaa afu akasema "si nilikwambia, long distance haifai, italiwa (papuchi) na sisimizi, nipe mimi"...hahaha that was all he needed to say akadaka fresh tu. lol.
 
Hivi niliachwa au niliacha?? Kwasababu gani vileeee???
Mmmmh.
Nitarudi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Duuh wangu alikuwa mzuri kwa kweli kwenye umbo sura rangi ila tatizo lililo nikimbiza ni hakujuwa kusoma na kuandika alafu mkorofi japo nilimvumilia na tatizo lake ila hakuona kama ni kwaajili ya mapenzi
 
Back
Top Bottom