Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
-
- #81
Fact ZUCHU number one everChawa, wanawezeshwa hao kwa kazi hii
Hapo anakwambia Zuchu ni mkali kuliko Jide, Ruby, Nandy na EA nzima[emoji23][emoji23][emoji23]
Miziki ya siku hizi bana
Sawa mama Levo mke wangu utamzalia diamond kwa ajili yangu[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa Baba levo tumekusikia. Vipi umeshajifungua wale mapacha watatu , uliotutangazia utamzalia mondi?
Fala mmoja wewe, una mboroh ya hata ya kumringishia, kama thread unazozianzisha unayejiita mwanaume ni kama hizi za kusutaYna2 nakupenda sana walahi
Inawezekana ni baba levo huyu ..nyuma panawasha ile mbaya sio kwa mahaba haya, Mara zuchu, Mara nasibu nyange ..Sawa Baba levo tumekusikia. Vipi umeshajifungua wale mapacha watatu , uliotutangazia utamzalia mondi?
Wimbo wa kawaida...alichoharibu mtoa mada kwenye bandiko lake ni hiyo kumpigia promo huyo mwinginemimi sio shabiki sana wa miziki hii ya vijana wa kizazi cha social media. nimeisikiliza wimbo mpya wa nandy akimshirikisha koffi olomide, ukweli ni wimbo wa kawaida sana.
no hate feelings.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu wangu, unakuta huyu ndiyo mume wako wa ndoa zile za mpaka kifo kitutenganishe..!!
'si bora muninyonge'...!!
Nyimbo za wcb tunazikalili kila mstari.Dona sex ,Lulu sex ,Juma lokole ----------------- Hahahaaaaaa!!
Hahahaamwanaume uko umekalisha mapumbu unaimba sukari halafu unajilamba lamba uko na earphones, huku ukijitingisha kidogo wowowo lako la kiume huku ukimlinda zuchu kwa nguvu zote mitandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kofi kajivunjia heshima bure.... Ngoma ya hovyo kabisaHabarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka......
Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa na yeye akataka atbelee Ile upepo Sasa audio tu ni utopolo fc[emoji23][emoji23][emoji23]
Sukari ya ZUCHU ni Mara 100 ya wimbo huu mpya wa NANDY maana hauna maajabu,ZUCHU the East African Queen anampa presha huyu NANDY.
Ko kiukweli currently hakuna msanii wa kike namba moja zaidi ya ZUCHU na pia ZUCHU ni Bora Mara 100 zaidi ya NANDY.
ZUCHU Yuko full package Kwanza ni composer,singer, songwriter,dancer, performer, investor and proficiency both in English and Swahili language rather than any female artist in East Africa.
Nyimbo za wcb tunazikalili kila mstari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo mwenyewe huyoMungu wangu, unakuta huyu ndiyo mume wako wa ndoa zile za mpaka kifo kitutenganishe..!!
'si bora muninyonge'...!!
Kofi kajivunjia heshima bure.... Ngoma ya hovyo kabisa
Sasa kama wanakwanguliwa (kucha )huku wananyonya bidhaa ile pendwa kwa bila wasiwasi hupita na kuwaambia bado wanja tu hapo.Vijana wa kiume siku hizi mnatuangusha sana,unakuta janaume zima linaimba sukari nailamba......kweli? Hata kujiuliza maudhui ya wimbo hamreason.........aibu sana,wanaume tumebaki wachache sana
Huyo ndio chaguo lako[emoji444]Mungu wangu, unakuta huyu ndiyo mume wako wa ndoa zile za mpaka kifo kitutenganishe..!!
'si bora muninyonge'...!!
π· π· π· π· π·Sawa Steve the simple boy
Kalale dogo ntakupelekea motoDogo Inno umeamua kurudi kwenye ID hii