Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Mnawasingizia wakala bure, hata kwenye ATM unaweza kutowa pesa mashine isitowe pesa, ukitowa kadi akiingia mtu mwingine anazikuta pesa zimetoka.

Nilishawahi kuzikuta pesa zimetoka jamaa kaondoka lakini nilimuita aje kuchukuwa pesa zake.
 
Mnawasingizia wakala bure, hata kwenye ATM unaweza kutowa pesa mashine isitowe pesa, ukitowa kadi akiingia mtu mwingine anazikuta pesa zimetoka.

Nilishawahi kuzikuta pesa zimetoka jamaa kaondoka lakini nilimuita aje kuchukuwa pesa zake.
Sasa nimsingizie wakala ili nipate faida Gani mkuu? Katika maelezo yangu hapo ni kipi ambacho nime kiongea ambacho ni negative dhidi ya wakala?

Hakika mkuu una kipengele afu ni wewe dokita kabisa
 

Hakuna wakala wa crdb na M-Pesa anaweza kimbia na 1m, acha wenge! Labda Kama ni muajiriwa, na Kama ni muajiriwa, mwenye office atawajibika, ingawa akikomaa unaweza usiwe na base ya kumshtaki!
 
Rudi kwa wakala pesa yako haipotei wewe utakomaa na CRDB, ndio waliompa dhamana ya kutoa huo huduma,
Pesa Yako Iko salama kabisa hata kama atakua kapiga huyo dogo aliyeajirwa bado mwenye hyo Atawajibika
 
Never, Tembea na RB mkuu akileta ujanja ujanja hio Kesho ita polisi kwa utaratibu weka mtu korokoroni...

Ushauri wangu ulishaokoa wengi na wanitumia sadaka kwa uaminifu mkubwa
Kesho nikienda hajafungua, kwanza namtafuta dada Yake ambae alimuweka kwenye kile kibanda, Leo nimefanya upelelezi mzuri nshajua naanzia wapi Kesho, huyo dada Yake nae nisipompata naenda polisi
 
Kesho nikienda hajafungua, kwanza namtafuta dada Yake ambae alimuweka kwenye kile kibanda, Leo nimefanya upelelezi mzuri nshajua naanzia wapi Kesho, huyo dada Yake nae nisipompata naenda polisi
Ushapigwa wewe usipoteze mda endelea na mambo mengine
 
Hakuna wakala wa crdb na M-Pesa anaweza kimbia na 1m, acha wenge! Labda Kama ni muajiriwa, na Kama ni muajiriwa, mwenye office atawajibika, ingawa akikomaa unaweza usiwe na base ya kumshtaki!
Namimi ndio nataka hiyo Kesho akomae, ili tuonyeshane ukenge
 
Yani sielewi maana nmewapigia CRDB wakaniambia labda kwakua ni weekend ndio mana wamefunga, niende jumatatu kama sijafanikiwa niwajulishe, maana wanasema account ya huyo wakala IPO vizuri tuu na ni MTU anafanya miamala
Hili ndilo limefanya nikuambie hutakiwi kuwaza.
 
mpaka sasa hajapata meseji ya kuonesha kuwa ametoa Tshs. 1,000,000/=

Sasa kama wakala atasema kuwa muamala ulikamilika na akatoa risiti ya kuonesha muamala umekamilika na akampa fedha mteja, unathibitishaje kuwa hukupewa fedha??
Haiwi rahisi hivyo. Kama una mpango wa kumtapeli mtu kwa njia hiyo hakikisha unaandaa na fedha ya kugharamia kesi
 
Ushauri wangu KAMA ATM INASUMBUA USITOE PESA KWA WAKALA, NI WASUMBUFU MNO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…