Kiongoz gn nchi ambaye hajawahi kuwa na msafaraTunawadai mambo mengi sana ndio maana wanajitenga ili tusipate nafasi ya kuwauliza.
Kwa mfano kwenye interview na Tido bado akatumia msafara within the premises za Ikulu.
Yaani ilishangaza mno.
Mbowe aliajiri mpaka makomandoo, inawezekana ni kweli jamaa anatuibia.Nyerere alisema mkiona viongozi wamejiongezea ulinzi mjue wanawaibia.
Kwahiyo unaona sahihi kutumia msafara wa magari kwenda kwenye interview within the premises za ikulu.Kiongoz gn nchi ambaye hajawahi kuwa na msafara
Ova
Msafara wa aliyetangulia ulikuwajeKwahiyo unaona sahihi kutumia msafara wa magari kwenda kwenye interview within the premises za ikulu.
Yaani uchome mafuta kupiga raundi hapo nyumbani kwako??
Si wangetafuta location nyingine ambayo hata haitahitaji kutumia msafara??
Awamu hii ina matumizi makubwa sana ya anasa.
Wale waliopo kwenye msafara wa raisi wanalipwa posho.Tunawadai mambo mengi sana ndio maana wanajitenga ili tusipate nafasi ya kuwauliza.
Kwa mfano kwenye interview na Tido bado akatumia msafara within the premises za Ikulu.
Yaani ilishangaza mno.
Kibunango ulinzi wa aina hii umeanza kupamba moto awamu ya Magufuli. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa hakuna kitisho cohchote cha usalama kwa viongozi bali ni njia ya kisaikolojia ya kuwafanya watu waone uongozi kiongozi ni nguvu isiyotakiwa kuchezewa, ni alfa na omega, ni kila kitu. Kwa wanaojua psychology wanalijua hili. Msisahau kuwa hata Makonda naye alikuwa na ulinzi wake wa kila mbwembwe. Kwa kifupi wanatuma ujumbe kuwa dont mess with the President. Nia hasa ni kutaka wananchi wawaogope na kuwatukuza.Sina, unaweza kuona kwenye live broadcast ...
Sipendi kuona Bi Samia akiingia kwenye mtego huu even though naye alikuwepo kwenye awamu ya tano...Kibunango ulinzi wa aina hii umeanza kupamba moto awamu ya Magufuli. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa hakuna kitisho cohchote cha usalama kwa viongozi bali ni njia ya kisaikolojia ya kuwafanya watu waone uongozi kiongozi ni nguvu isiyotakiwa kuchezewa, ni alfa na omega, ni kila kitu. Kwa wanaojua psychology wanalijua hili. Msisahau kuwa hata Makonda naye alikuwa na ulinzi wake wa kila mbwembwe.
Teh tehKibunango ulinzi wa aina hii umeanza kupamba moto awamu ya Magufuli. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa hakuna kitisho cohchote cha usalama kwa viongozi bali ni njia ya kisaikolojia ya kuwafanya watu waone uongozi kiongozi ni nguvu isiyotakiwa kuchezewa, ni alfa na omega, ni kila kitu. Kwa wanaojua psychology wanalijua hili. Msisahau kuwa hata Makonda naye alikuwa na ulinzi wake wa kila mbwembwe.
We ulitaka Mhe Rais aende Vits?? watu wengine mko hovyo sana.Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!
Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!
Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?
Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano
Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?
Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!
Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!
Ukipitia threads za hapa kijiweni, misafara ya Hayati Magu ilipigiwa kelele sana... Hadi kuonekana kama yeye ni mshamba fulani...Msafara wa aliyetangulia ulikuwaje
Mbona ulikuwa msafara mkubwa tu hadi na helikopta
Mbn hamkulalamika
Jk naye msafara wake ulikuwaje teh teh
Kna wakt mpk ma rc walikuwa na misafara mbn
Ova
Watu wangekuwa washafanya attempts kibao if it's that easy..Hata hilo lundo la ulinzi, anaweza kudunguliwa tu....
Watu wanalamba asali wewe tuliaHuwa ninashangaa sana kiongozi anasema yuko madarakani kwa ushindi wa kishindo, lakini ana ulinzi Mkali kuliko aliyeingia kwa kupindua nchi. Ukitaka ucheke ufe, akiwa nje ya nchi ambako hana hata kura moja ana ulinzi wa kawaida mno. Hapo ndio ninawaelewa wazungu wanapotufananisha na nyani.
Tulia tulambe asali weweLeo mmegeuka tena mnasema ulinzi ni mkali sana?
Kipindi Mama anaingia si mlikuwa mnamtukuza kwamba ana walinzi wachache sana na kwamba yeye ni kipenzi cha Watanzania tofauti na ilivyokuwa kwa Jiwe!?
Kwa hiyo tupewe nini basi turidhike?
Tunalamba asali sisiCCM ni majambazi.
Ukipata mpenyo piga,
Hawa CCM ndio waliouondoa uzalendo kwa vijana