Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja!

Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja!

Leo mmegeuka tena mnasema ulinzi ni mkali sana?

Kipindi Mama anaingia si mlikuwa mnamtukuza kwamba ana walinzi wachache sana na kwamba yeye ni kipenzi cha Watanzania tofauti na ilivyokuwa kwa Jiwe!?

Kwa hiyo tupewe nini basi turidhike?
Huyu aliyeanzisha mada ni kipenzi cha mwendazake kindakindaki
 
Tunapigana kwenye mipaka ya Mtwara na ndani ya nchi ile.. Mwacheni alindwe wewe nani unahoji ulinzi wa Rais .. umetumwa !?
 
Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!

Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...
Yule hakuwa na ulimbukeni wa Urais, pamoja na Urais wake alipenda kujichanganya na wananchi.
 
Yule hakuwa na ulimbukeni wa Urais, pamoja na Urais wake alipenda kujichanganya na wananchi.
Muhutu ndo alivunja rekodi kwa nyomi la walinzi lakini haikuvua dafu kwa wazee wa Luangwa mkoani Lindi noma sana walimtest kumfukizia moshi katikati ya nyomi la Makilikili
 
Huu upuambavu ulianza kwa Magufuli, magari kibao na helkopta angani
Kwa taarifa tu, nishafanya kazi na Bi Samia, Masauni, Nahodha na wengine tu

Cha msingi ni kuona Bi Samia anaachana ujinga wa misafara...

Ziara zitapendeza bila ya kuwa na rundo ya usalama... Wanakera mno...
 
Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!

Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!

Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?

Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano

Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?

Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!

Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!
Hilo la msafara ni mkubwa kuliko kiongozi wa nchi za Ulaya...
 
Yule hakuwa na ulimbukeni wa Urais, pamoja na Urais wake alipenda kujichanganya na wananchi.
...... na chopper juu ya kichwa chake... Ni upumbavu mkubwa kotokea ktk nchi yetu
 
Marekani Samia alikuwa na Magari 3. Yake na walinzi 4, walinzi wengine pamoja na nyingine iliyobeba wasaidizi wa karibu. Daktari, Katibu na Mkurugenzi wa Mawasiliano
 
Hiyo misafara ya viongozi wa hii nchi kwa kiasi kikubwa ndio kichocheo cha umasikini wa hili taifa, pesa inayotumika kugharamia mafuta ya hayo magari kwa mwaka ni nyingi sana.

Haiwezekani kila siku wanasema wanapiga vita umasikini huku wao wanaendeshwa kwenye msafara wa v8 unaozidi magari ishirini, hawa watu hawako serious.

Hiki ni kielelezo kwamba viongozi wa nchi masikini hutumia madaraka yao for publicity, wala sio kuhudumia wananchi wanaowaongoza, madaraka kwao ni sawa na kushinda bahati nasibu, ndio maana hupongezwa from different angles wanapoteuliwa.
Angalia usije haribu mimba,una chuki na serikali mpaka mashavu yamekufura!!..
 
Kwa taarifa tu, nishafanya kazi na Bi Samia, Masauni, Nahodha na wengine tu

Cha msingi ni kuona Bi Samia anaachana ujinga wa misafara...

Ziara zitapendeza bila ya kuwa na rundo ya usalama... Wanakera mno...
Mimi sijakataa, ila nilimjibu huyo mdau aliyesema hii inatokea awanu hii kwa sababu inaendeshwa na awamu ya nne
 
wajameni swala la ulinzi wa rais sanasana ni la vyombo vya ulinzi na usalama. kuna usalama wa taifa, polisi,ulinzi wa rais n.k mambo mengine hapangi yeye na wala hajui walinzi wake wamepanga nini. kuhusu msafara wa magari 25,huko naamini ndio hajui kabisaa kwamba huko nyuma kuna mkururu wa magari mangapi, hebu fikiria, kuna viongozi wa chama, mkuu wa wilaya,dso,ocd, mkuu wa mkoa,Rso,rpc, mawaziri, wakurugenzi, lakini pia kuna timu yake ya ikulu na viongozi wengine wengine ukiangalia vizuri hata hayo 25 bado ni machache. labda tu asome uzi huu apige marufuku baadhi ya viongozi kujiunga kwenye msafara wake,ila kwenye ulinzi ni ngumu kumeza bwashee
 
Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!

Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!

Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?

Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano

Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?

Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!

Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!

Hao hawalambi tu bali wanabwia asali
 
Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!

Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!

Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?

Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano

Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?

Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!

Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!

Kiongozi wa nchi anatakiwa kulindwa kwa udi na uvumba
 
Awamu ya nne ndege ilikuwa inajaa hadi wazamiaji na kwa hiyo usiulize sana kwamba kwa sasa tunaongozwa na awamu ya ngapi mpaka unaona msafara una magari mengi, wanalamba asali huku wakipapaswa.
Magufuli ndio rais alieongoza kwa kuwa na msafara wa magari mengi, tuseme ukweli.
 
Back
Top Bottom