Vito Ferari
JF-Expert Member
- Mar 31, 2022
- 290
- 416
Rais anapoenda mahali popote, viongozi wa eneo anapoenda, lazima wakampokeee......hayo magari yote wanaoyaandaa ni viongozi wa eneo analotembelea...hiyo iko ivyo dunia nzimaKwahiyo unaona sahihi kutumia msafara wa magari kwenda kwenye interview within the premises za ikulu.
Yaani uchome mafuta kupiga raundi hapo nyumbani kwako??
Si wangetafuta location nyingine ambayo hata haitahitaji kutumia msafara??
Awamu hii ina matumizi makubwa sana ya anasa.
Na lile dude lenye mapangaboi linalotupepea toka angani!Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!
Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!
Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?
Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano
Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?
Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!
Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!
Umesahau Jiwe alikua mpaka na escort ya chopa?!Kwahiyo unaona sahihi kutumia msafara wa magari kwenda kwenye interview within the premises za ikulu.
Yaani uchome mafuta kupiga raundi hapo nyumbani kwako??
Si wangetafuta location nyingine ambayo hata haitahitaji kutumia msafara??
Awamu hii ina matumizi makubwa sana ya anasa.
Ulikuwa ujazaliwa wakati wakilalamikaMsafara wa aliyetangulia ulikuwaje
Mbona ulikuwa msafara mkubwa tu hadi na helikopta
Mbn hamkulalamika
Jk naye msafara wake ulikuwaje teh teh
Kna wakt mpk ma rc walikuwa na misafara mbn
Ova
Mafuta ya bure kwann wasiwe na msululu.uongozi ni ajira na sio wito..Ukiacha msafara wa raisi siku hizi kuna utitiri wa viongozi wenye misafara.
..Kwa mfano, nimewahi kukutana na msafara wa katibu mkuu kiongozi!!
..Mwalimu nyerere aliwahi kukemea tabia hii ya misafara mikubwa mikubwa katika hotuba au andiko lenye title " pomposity. "
..Nakumbuka mzee mwanakijiji aliwahi kutuletea hotuba / andiko la mwalimu nyerere hapa jf.
Masikini nchi yangu? Hivi Riz 1 atakomea unaibu waziri tu au yajayo yanafurahisha?Awamu ya nne ndege ilikuwa inajaa hadi wazamiaji na kwa hiyo usiulize sana kwamba kwa sasa tunaongozwa na awamu ya ngapi mpaka unaona msafara una magari mengi, wanalamba asali huku wakipapaswa.
Haswaaa. Hakuna namna. Wanasema ccm imeleta amani na majirani wanatuonea gere, mara Pa! Maving'ora na matrafiki chungu nzima barabarani ...duh! Unakaa unajiuliza, uoga wa nini tena??!Mi nashauri Rais alindwe na Wamasai, ili mleta uzi aache kuleta nyuzi za namna hii...
Kweli kabisa mafuta ya dezo wanapataMafuta ya bure kwann wasiwe na msululu.uongozi ni ajira na sio wito
Wasiokumbuka hujikuta historia ikiwakumbusha....Ukiacha msafara wa raisi siku hizi kuna utitiri wa viongozi wenye misafara.
..Kwa mfano, nimewahi kukutana na msafara wa katibu mkuu kiongozi!!
..Mwalimu nyerere aliwahi kukemea tabia hii ya misafara mikubwa mikubwa katika hotuba au andiko lenye title " pomposity. "
..Nakumbuka mzee mwanakijiji aliwahi kutuletea hotuba / andiko la mwalimu nyerere hapa jf.
Kuhusu hii misafara ya kutisha, bila kupepesa macho imeasisiwa na awamu ya Tano (5)Awamu ya nne ndege ilikuwa inajaa hadi wazamiaji na kwa hiyo usiulize sana kwamba kwa sasa tunaongozwa na awamu ya ngapi mpaka unaona msafara una magari mengi, wanalamba asali huku wakipapaswa.
Kaangalie kwanza interview ya Rais na Tido Mhando wa Azam.Rais anapoenda mahali popote, viongozi wa eneo anapoenda, lazima wakampokeee......hayo magari yote wanaoyaandaa ni viongozi wa eneo analotembelea...hiyo iko ivyo dunia nzima
Kwani BAKWATA iko chini ya nani? Usihangaike.Hata Sheikh Mkuu wa Tanzania na pia Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar wana walinzi....mambo ya ajaab kabisa[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tindo wewe umetinduaa kweli kweli. Hii coment yako inaeweza kuangusha mbuyu kama asomae awaye yeyote akatafakari. Na unyani wetu waafrica ndy hapa. Kudos manHuwa ninashangaa sana kiongozi anasema yuko madarakani kwa ushindi wa kishindo, lakini ana ulinzi Mkali kuliko aliyeingia kwa kupindua nchi. Ukitaka ucheke ufe, akiwa nje ya nchi ambako hana hata kura moja ana ulinzi wa kawaida mno. Hapo ndio ninawaelewa wazungu wanapotufananisha na nyani.
Dah Mkuu hata wewe!Tunawadai mambo mengi sana ndio maana wanajitenga ili tusipate nafasi ya kuwauliza.
Kwa mfano kwenye interview na Tido bado akatumia msafara within the premises za Ikulu.
Yaani ilishangaza mno.
Ulinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!
Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!
Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?
Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano
Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?
Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!
Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!
Picha muhimuUlinz wa Viongozi kwa kweli unatia kinyaa!
Ni kuanzia kwa rais wa Jamhuri ya Muungano hadi kwa rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Huu ulinzi wao umezidi mipaka, unatisha na wala haupo sambamba na hali halisi ya nchi yetu! Kumbuka tu tunasema kuwa nchi yetu ni ya amani na utulivu!
Tukiwa tuaendelea kuzindua hiyo Royal Tour huku viongozi wakiwa kwenye ulinzi mkubwa namna hiyo kushinda hata wa yule wa Ukraine, dunia hii itatuelewa vipi?
Kuna kipindi cha awamu ya kwanza kadhia hii ilipigwa marufuku. Awamu ile msafara ulifikia magari kumi... na ukakemewa hadi kurudi kwa magari matano
Leo msafara una magari 25 hadi 30 kwa Kiongozi mmoja! Tunajenga nchi au tunabomoa? Huu ni ufahari au ni ulimbukeni au ni dalili ya ukosefu wa ajira?
Hili limepigiwa kelele na wengi hapa kijiweni na ni vema tukapata ufafanuzi kwa nini hali hii ipo na inaendelea kukua! Mbona wakiwa nje ya nchi, ulinzi wao ni wakawaida tu!
Tukiwa katika hali ya sasa ya mfumko wa bei ni vema hao viongozi kuonyesha kweli nchi yetu ipo katika hali ngumu na sio hizo anasa wanazotuonyesha!