The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Watu wamejikatia tamaa wanatakakuwakatisha tamaa na wenzao,maisha popote.All the best Bro
Usijali hivi vibwengo vinavyotapatapa, sijui utumwa sijui kuna hela bongo wakati venyewe ukiviangalia ni choka mbaya mbovu... kutwa kushinda humu JF...
Na kuna kimoja kinaoneka ni kizee `kweli kipo humuJF toka 19kweusi kina wanga kwenye kila siredi...
Vita mbele, ushawaacha wala vumbi....
Mkuu hapa JF kuna watu wa kila aina,wapo waliopo Bongo na wapo waliopo nje ya Bongo,kwa Dunia ya leo ni rahisi sana kwenda nchi yeyote ile na kutafuta riziki,Moja ya kinachofurahisha Jf ni ukianzisha uzi kuhusu nchi yoyote na wachangiaji watajidai wako huko huko hata kama wengi sio kweli.
Utasikia, karibu sana huku Marekani. Mara mwingine atasema, kwa kweli kwa sisi tunaoishi hapa Landani Uingereza hilo suala tunalikubali. Na hata wapo watakaokwambia huko Bongo mnateseka sana, karibuni huku falme za kiarabu.
Ishi na watu vizuri VISA haina interviewSalamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.
Wasalaam.
Mkuu umetumia gharama kiasi gani Hadi hapo ulipofika? Kwenye interview uliulizwa maswali gani? Na Ni visa ipo umepata.? Kama vip tusaidie njia ulizopita na sisi wengine wenye Nia tujue pa kuanzia ...Unadhani wote ambao huwa wanaokoswa huwa hawamshawishi consular officer? wakati mwingine jitahida haizidi kudra Mkuu, ndio maana namuomba Mungu.
Sawa Mkuu, nitaishi nao vizuri wakati mwingine [emoji16]Ishi na watu vizuri VISA haina interview
Mkuu OllaChuga Oc, ahsante kwa swali.Mkuu umetumia gharama kiasi gani Hadi hapo ulipofika? Kwenye interview uliulizwa maswali gani? Na Ni visa ipo umepata.? Kama vip tusaidie njia ulizopita na sisi wengine wenye Nia tujue pa kuanzia ...
Uko positive sana Mkuu.Mkuu hapa JF kuna watu wa kila aina,wapo waliopo Bongo na wapo waliopo nje ya Bongo,kwa Dunia ya leo ni rahisi sana kwenda nchi yeyote ile na kutafuta riziki,
So,mtu akikwambia sijui yupo nchi fulani usichukulie kua ni jambo kubwa sana,ni kawaida tu,
Karibu hapa kwa Malkia tukomae na box.
Ongera sana na pia karibu America maybe tutaonana one dayAmekuwa Mkuu, nashukuru sana.
Yaani kuna jamaa alianza kuniambia mambo ambayo hadi sasa hivi najiuliza kama hiyo roho anayo mtu anayekujua vizuri anakuua kabisa.Watu wamejikatia tamaa wanatakakuwakatisha tamaa na wenzao,maisha popote.
Shukran Mkuu, Mungu ajalie hilo.Ongera sana na pia karibu America maybe tutaonana one day
Point[emoji1666]Ukitaka kumpatia mzungu akupe viza yake ki rahisi,wwe cheza na documents tu, angalia ni documents gani wanazitaka kwa ajili ya safari yako kwenye web zao zinakuwepo! Mtalii ana documents zake, mfanyabiashara pia na Wanafunzi nao kuna aina ya documents zao za kiwanafunzi! Sababu ya safari yako ndiyo itakuelekeza ni documents gani ukusanye!!
Huyo huyo ndio kaa approve mkuu,anapenda kuwa window 3, black sura nzuri kiasi nyembamba, mwembamba pia, kama mnyarwanda hivi, namshukuru Mungu.Mzee baba kwanza hongera kwa uthubutu! Sema umeenda muda mbaya sana! Pale kuna consolar mmoja tu dirishani ambaye ni mdada black america. Ana roho mbaya sijawahi pata kuona yaani sijui kama utatoboa. Kulikuwa na mama wa kizungu pale sema karudi kwao yule ndo alikuwa poa sana wengi walikuwa wanapewa tu Visa. Ila yule dada wa kimatumbi ana roho ya mwendazake! Walah ukipata wewe kidume. Ukuje utuletee mrejesho hapa.
AhsanteHongera
Shukrani BossHongera! Uzi mzuri sana.
Kwanza mi nikupongeze kwa hatua uliyofikia na Mungu azidi kukuongoza na kukupa hitaji la moyo wako. Kingine achana na hao roho nyeusi na mbaya wapo kwa ajili ya kukatisha watu tamaa na kutopenda wengine wapige hatua. Kila la kheri Mkuu.Yaani kuna jamaa alianza kuniambia mambo ambayo hadi sasa hivi najiuliza kama hiyo roho anayo mtu anayekujua vizuri anakuua kabisa.
Nilichojifunza tu ni kuwa sitakuwa naweka masuala binafsi mtandaoni, ni kukaribisha roho za kishetani tu maishani.
Niliweka ili tu niweze kupata usaidizi na ushauri kutoka kwa wajuzi wa mambo, ili kupata insight ya kupambana,ila matokeo yake mtu anakuandikia.
- UNAENDA UTUMWANI UNAONA SIFA.
- UTAKUFA NJAA HUKO
- UTARUDI NA MAKOBAZI HUTAFANIKIWA
- UTARUDI KAMA ULIVYOKWENDA.
- UNATUANDIKIA MAREKANI UNADHANI NI MBINGUNI.
- UNATAKA SIFA, NK.
- CHUKUA MIFAGIO YA KUZOLEA MAVI YA WAZUNGU.
Ina discourage sana, anyway tuishi.
Ahsante kwa ushauri bora kabisa, Mungu akubariki sana.Kila la kheri mkuu usisikilize negative comments, chukua zile positive tu alafu zifanyie kazi. Simamia lengo kuu linalokupeleka USA, kuwa na nidhamu katika mambo yote (socially, economically n.k). Pia usisahau ulipotoka, iogope kesho yako na mshirikishe Mungu katika mambo yako.
Siwazingatii mkuu, nashukuru sana.Kila la kheri mkuu usisikilize negative comments, chukua zile positive tu alafu zifanyie kazi. Simamia lengo kuu linalokupeleka USA, kuwa na nidhamu katika mambo yote (socially, economically n.k). Pia usisahau ulipotoka, iogope kesho yako na mshirikishe Mungu katika mambo yako.
Hongera Sana chief Mungu azidi kukupiganiaSalamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.
Wasalaam.
Jana nimeamini humu ndani kuna watu wa ajabu mno, jambo la kuomba visa na kupata ni jambo la kawaida kabisa, me sio wa kwanza kupata wala sitakuwa wa mwisho.Allah akujaalie kheri,
Jf kuna wachawi wengi makonkodi,
Rana yao kuona umeleta uzi wa kuomba msaada,halafu wao wanajivisha ngozi ya kondoo na Kufariji/pole nyingi za kinafiki.